Kaa na ujenge nami

leoleo-tu

JF-Expert Member
Dec 18, 2018
1,272
3,514
Update:
Leo nimeanza kunyayua nadhani kesho kutwa ntamaliza kozi 10 nisubire kufunga mkanda na kumalizia 3.

IMG_20230817_145234.jpg

IMG_20230817_162026.jpg


Mwaka huu mwezi wa tatu kwa kipato changu nikaamua kujipiga piga na mimi nianze ujenzi.
Kwanza nilianza kwa kununua tofali za msingi inch 6 kila tofali ilikuwa Tzs 1200 na nikanunua tofali 1400, kufunga mkanda nilitumia nondo 28. Tofali. Kisha tukapata na fundi ujenzi hadi kufunga mkanda wa msingi. Baada ya hapo akanishauri tujenge mashimo ya choo ili kile kifusi kitumike kwenye kujaza msingi.
Tofali zilibaki nikaongeza tena tofali 150 za inch 6 kwa ajili ya kupata tofali za kutosha kwa ajili ya kujengea mashimo. Napo zimebaki kama tofali 30 za inch 6 ambazo fundi kasema zitatumika kujengea ngazi.

Hapana ndipo nimemaliza mwaga zege shimo la mwisho. Nishaweka tofali 800 nitaongeza tofali nyingine 1000 aanze kuinua. Huku tofali za kujengea kuta ni Tzs1100 ambazo ni ngumu. Mpaka sasa ikiwemo hizo tofali 800 nishatumia milion 6.3.
IMG_20230802_142502.jpg
IMG_20230802_142347.jpg
IMG_20230802_142322.jpg
 
Hizo gharama za hapo awali na za kupandisha boma zinaweza kuwa zaidi.

Ukiachana na hiyo mil 6.4 uliyotumia Je kupandisha boma kabla ya kupaua Itakuwa zaidi ya hiyo amount ya awali Kwa makadirio ya fundi?
 
Mbona mashimo mengi mkuu, yote hayo ni ya nini??
Ni mashimo mawili kubwa na dogo. Sikutaka kujenga haya mashimo ya kisasa maana kuna wengine yanawapa changamotom halafu nilitala jenga moja tu kubwa fundi akanielezea mechanism ni kwanini yanakuwa mawili moja dogo la rectangle na kubwa la circle.
Dogo linakuwa limesakafiwa vizuri na linakuwa na maji ndani halafu na ukuta flan, kinyesi kikija kinagonga kwenye ukuta kinachambuka maji yakifka level fulani yanahamia shimo kubwa ambalo lina matundu na halijasakafiwa hivyo maji yanapenda chini. Pia shimo dogo coz linabaki na maji linazuia harufu kurudi.
Baada ya kunieleza nikajua kwanini yanakuwa mashimo mawili nikaamua poa hata kama inacost bora ni jenge hivi. Halafu kwetu tulikuwa wengi tulihamiaga 99 mpaka leo hayajawahi kunyonywa wala kujaa na ni mashimo mawili. Mind you tulikuwa watu kama 9
 
Ni mashimo mawili kubwa na dogo. Sikutaka kujenga haya mashimo ya kisasa maana kuna wengine yanawapa changamotom halafu nilitala jenga moja tu kubwa fundi akanielezea mechanism ni kwanini yanakuwa mawili moja dogo la rectangle na kubwa la circle.
Dogo linakuwa limesakafiwa vizuri na linakuwa na maji ndani halafu na ukuta flan, kinyesi kikija kinagonga kwenye ukuta kinachambuka maji yakifka level fulani yanahamia shimo kubwa ambalo lina matundu na halijasakafiwa hivyo maji yanapenda chini. Pia shimo dogo coz linabaki na maji linazuia harufu kurudi.
Baada ya kunieleza nikajua kwanini yanakuwa mashimo mawili nikaamua poa hata kama inacost bora ni jenge hivi. Halafu kwetu tulikuwa wengi tulihamiaga 99 mpaka leo hayajawahi kunyonywa wala kujaa na ni mashimo mawili. Mind you tulikuwa watu kama 9
Mambl ya ufundi ni kumpata fundi sahihi bila shaka fundi angekua sawa boss, miezi kadhaa ijayo ungejutia maamuzi yako.
 
Hizo gharama za hapo awali na za kupandisha boma zinaweza kuwa zaidi.

Ukiachana na hiyo mil 6.4 uliyotumia Je kupandisha boma kabla ya kupaua Itakuwa zaidi ya hiyo amount ya awali Kwa makadirio ya fundi?
Makadirio yangu hapo nitaongeza tofali 1000 kila tofali ni 1100 so itakuwa 1100000, hapo nna assumu nitatumia kama mifuko 25 ya cement ambapo kila mfuko ni 16000 kwa sasa, mbao za kukodi na mirunda ya kununua kama 4 kwa ajili ya kupandaia. Mchanga upo ila nitaongeza trip nyingine ya 70000 uko. Kokoto zipo ila nitaongeza trip 1 ya 140000. Na nondo n.k na ufundi roughky sitegemei kama sitafika mls 4. Lakini una estimate hivi zinakuja gharama za vitu vidogo vidogo zinaongezeka
 
Back
Top Bottom