Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kama mmoja wa wahusika basi fika airport kuna hili gari limedampiwa na mwenyewe sasa mwezi na wenyewe kiwanja wanafikiria kuliwakilisha kituo cha polisi sasa kama mjuuavyo wote n binadamu gari zinatoka zima na kufika polisi limeibiwa taa na kila kitu