ZebraPlus
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 635
- 330
Kama hio habari ni ya kweli basi nina hakika kwa 100% kuwa ni Usalama wa Taifa ili wawshingizie Viongozi CUF wawatie ndina na Wapate Huruma kutoka Mataifa ya Nje waweze kubakia Madarakani Zanzibar
Ni wenyewe hao askari na majeshi, kama cuf wanamabomu wangekuwa washamiripua jecha