Unalinfanisha na nidhamu ya wapi, Misri au Libya? Nidhamu ya woga au ya heshima? Pls explain... for sure huwa tunaimba, TUNAJIVUNA, TUNAMAJESHII YA TZ.....!
Nadhani linaongoza kwa nidhamu ya kutumika kisiasa!! Huwezi kutofautisha JWTZ, Jeshi la polisi na CCM
ANGALIZO: Mtu ambaye hajjapitia hata mgambo atatoaje comment za unidhamu wa jeshi?.......tuache ushabiki ...tutoe comment kama great thinkers/professionals....TWAWAALIKA WATU WA MAJESHI WATUJUVYE.....na si mashabiki na wabeba mabango wetu wa simba sports club kuelezea JWTZ ambayo hatujui hata ina sare za aina ngapi.....tutasema hata ULTIMATE ni jwtz