Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
teja nalo limeanza kuongea TBC 1 cjui ni recorded??
JK anahutubia.
Kulikoni wimbo wa taifa unapigwa?
Ni kwa sababu hakuna la maana lililoongelewa!!Ingependeza kama mgetoa updates kwenye bandiko la kwanza, kutueleza wamesema nini?? Maana nimepitia kurasa zote sioni mbona chochote??
JK anahutubia.
Hatuna wataalam wa milipuko nje ya JWTZ wenyewe. Hivyo watajichunguza wenyewe na kutupatia kile wanachoona ni sahihi! Tusahau tu tusonge mbele. Mbona Mbagala tulishasahau.
Ingependeza kama mgetoa updates kwenye bandiko la kwanza, kutueleza wamesema nini?? Maana nimepitia kurasa zote sioni mbona chochote??
![]()
Brig. Gen. Meela Mkuu wa Usalama na Utambuzi Jeshini
Kama wanasiasa wanataka CDF ajiuzulu basi nishauri kuwa akijiuzulu na jeshi zima lijiuzulu maana they all fall to him scientifically.
Tuache politic tujenge nchi, tutatue matatizo yetu kitaalamu, tufuatilie mambo kitaalamu na tufanye investigation kitaalamu na siyo kuropoka au kukurupuka na kujibu au kshabikia mambo kisias.
Kukopi current user's names browsing the thread sioni kama ni Ugreat thinker.....kama huna cha kuchangia, unahaki zote kusoma michango ya wengine!
Thanks rev ..it wasnt inteded... hope you have seen the exact post !!!
Jamani katika mambo ambayo hayana siasa ni Vyombo vya ulinzi na usalama. Alafu kingine ni kucheza na akili za watu kwa kuwafikirisha mambo yasiyo ya kweli au tusiyokuwa na uhakika nayo.
Ni makosa makubwa kuunganisha maswala ya usalama na vyama vya sias au kufanya yaliyotokea kama sehemu ya kujipatia ujiko wa kisiasa maana utakua huna tofauti na vibaka waliofurahia tukio hilo na kwenda kuiba na kuwakaba wahanga au wale wauza mahitaji pale uwanja wa taifa waliopandisha bei ya vitu bila kujali anayemuuzia katoka katika hali gani.
Ushauri wangu wanasiasa wote tuache kutafuta umaarufu maana sikuona mmbunge yeyote wa chama chochote au mwanaharakati yoyote aliyetoa pendekezo au mswada wa uhufidha wa silaha zetu baada ya tukio la mbagala. Nafikiri cha muhimu ni kushauri namna ya kuhifadhi silaha zetu maana usitake kuniambia hamfahamu mahali JF kenedy military Base iko kwenye makazi ya watu, hakumbuki gesi ya nyuklia iliyotokea nchi za sweden, norway na scotland ambyo tena milipuko ilitokea nje ya nchi hizo, je kama mabomu yatahifadhiwa maeneo kama katikati ya ya msata huko alafu mzinga ulipuke hautafika dar? jamani lets think twice "kama vipi silaha zetu tukazihifadhi nchi nyingine siku tukiyahitaji tukayachukue".
Ndiyo Waziri katika level ya siasa he has to resign maana alisha ahidi kuwa likitokea kama mbagala atawajibika maana alitamka kwa maslahi ya kisias but he was no scientifically right huwezi ukadetermine ustahimilivu wa umeme hasa wenye mlipuko. Ni hivi majuzi India walitaka kurusha rocket anga za mbali lakini ikalipuka na kuunguza kituo cha kurushia kabla ya kuruka.
Mkuu wa jeshi asijiuzulu maana alionyesha jitihada za kijeshi kuhangaika usiku ule na kuaihirisha programme zote na hata alipokutana na rais usiku na kukubaliana baraza la usalama wa taifa likae kujadili ni juhudi kubwa. Kwanza watu walishaambiwa muda mrefu tu kuwa hayo maeneo hayafai wakaingia tu tena kwa kuvamia wakipewa kichapo mnasema wanawadhulumu, kumbuka yaliyotokea kunduchi 2005/2006 mpaka wanajeshi wakaamua kuwapiga wananchi walokua wanajenga ndani ya kambi lakini watu wakaenda mahakamani tena wakisaidiwa na mwanasias machachari yakijalipuka madude oh jeshi lihamishe silaha. Kipindi hizo kambi za jeshi zilipojengwa kulikua ni nyika na misimba tu sasa hivi kwa raia.
watu wanalalamika kwanini mabomu yasihamishwe, ni kuvute yuma kidogo kuwa watati mabomu yanahamishiwa gongo lamboto miaka hiyo kulitokea milipuko mikubwa lakini hakukuwa na madhara makubwa maana idadi ya watu dar ilikua ndogo sana tofauti na sasa je yakihamishwa sasaivi alafu litokee la kutokea maana ajali haikwambii sasa natokea mtaanza kusema ohh fulani kafanya hivi mara vile wajiuzulu nk. Mwanasiasa anaweza kumwambia mpinzani wake ajiuzulu hata kama ni mafuriko au drought na kumwambia alisababisha yeye.
Milipuko imetokea yes je ni mara ya ngapi? ya pili au tatu au nne je ingekua ni mara ya kumi si tungefanya mapinduzi ya kijeshi sasa!!! Tuombe Mwenyezi Mungu atusaidie isitokee tena na wataalamu badala ya kupiga makelele tu watoe ushauri wa kisayansi siyo siasa tu ya namna au nini cha kufanya kusaidia walioathirika na kuangalia namna ya kukabiliana na majanga ya aina hiyo hapa nchini.
Nikumbushe wanaosema kuwa CDF anaongea wakati amiri jeshi mkuu ameshaongea - kumbuka Rais alkua anajibu maswali ya waandishi wa habari hakuitisha mkutano na waandishi wa habari na ndiyo maana hakukua na written statement. Pili rais hakuzungumzia military technical issues kwa mujibu wa sheria na taratibu alizungumzia hali ilivyokuwa na nini kinafanyika na mwisho kiutaratibu mkuu wa kitengo cha ulinzi jeshinindiye aliyetoa taarifa ya tukio kitaalamu akiwa na wataalamu wengine wa mabomu.
Kama wanasiasa wanataka CDF ajiuzulu basi nishauri kuwa akijiuzulu na jeshi zima lijiuzulu maana they all fall to him scientifically.
Tuache politic tujenge nchi, tutatue matatizo yetu kitaalamu, tufuatilie mambo kitaalamu na tufanye investigation kitaalamu na siyo kuropoka au kukurupuka na kujibu au kshabikia mambo kisias.
Jamani katika mambo ambayo hayana siasa ni Vyombo vya ulinzi na usalama. Alafu kingine ni kucheza na akili za watu kwa kuwafikirisha mambo yasiyo ya kweli au tusiyokuwa na uhakika nayo. Ni makosa makubwa kuunganisha maswala ya usalama na vyama vya sias au kufanya yaliyotokea kama sehemu ya kujipatia ujiko wa kisiasa maana utakua huna tofauti na vibaka waliofurahia tukio hilo na kwenda kuiba na kuwakaba wahanga au wale wauza mahitaji pale uwanja wa taifa waliopandisha bei ya vitu bila kujali anayemuuzia katoka katika hali gani.
Mkuu wa jeshi asijiuzulu maana alionyesha jitihada za kijeshi kuhangaika usiku ule na kuaihirisha programme zote na hata alipokutana na rais usiku na kukubaliana baraza la usalama wa taifa likae kujadili ni juhudi kubwa.
Kwanza watu walishaambiwa muda mrefu tu kuwa hayo maeneo hayafai wakaingia tu tena kwa kuvamia wakipewa kichapo mnasema wanawadhulumu, kumbuka yaliyotokea kunduchi 2005/2006 mpaka wanajeshi wakaamua kuwapiga wananchi walokua wanajenga ndani ya kambi lakini watu wakaenda mahakamani tena wakisaidiwa na mwanasias machachari yakijalipuka madude oh jeshi lihamishe silaha. Kipindi hizo kambi za jeshi zilipojengwa kulikua ni nyika na misimba tu sasa hivi kwa raia.
watu wanalalamika kwanini mabomu yasihamishwe, ni kuvute yuma kidogo kuwa watati mabomu yanahamishiwa gongo lamboto miaka hiyo kulitokea milipuko mikubwa lakini hakukuwa na madhara makubwa maana idadi ya watu dar ilikua ndogo sana tofauti na sasa je yakihamishwa sasaivi alafu litokee la kutokea maana ajali haikwambii sasa natokea mtaanza kusema ohh fulani kafanya hivi mara vile wajiuzulu nk. Mwanasiasa anaweza kumwambia mpinzani wake ajiuzulu hata kama ni mafuriko au drought na kumwambia alisababisha yeye.
Milipuko imetokea yes je ni mara ya ngapi? ya pili au tatu au nne je ingekua ni mara ya kumi si tungefanya mapinduzi ya kijeshi sasa!!! Tuombe Mwenyezi Mungu atusaidie isitokee tena na wataalamu badala ya kupiga makelele tu watoe ushauri wa kisayansi siyo siasa tu ya namna au nini cha kufanya kusaidia walioathirika na kuangalia namna ya kukabiliana na majanga ya aina hiyo hapa nchini.
Nikumbushe wanaosema kuwa CDF anaongea wakati amiri jeshi mkuu ameshaongea - kumbuka Rais alkua anajibu maswali ya waandishi wa habari hakuitisha mkutano na waandishi wa habari na ndiyo maana hakukua na written statement. Pili rais hakuzungumzia military technical issues kwa mujibu wa sheria na taratibu alizungumzia hali ilivyokuwa na nini kinafanyika na mwisho kiutaratibu mkuu wa kitengo cha ulinzi jeshinindiye aliyetoa taarifa ya tukio kitaalamu akiwa na wataalamu wengine wa mabomu.
Kama wanasiasa wanataka CDF ajiuzulu basi nishauri kuwa akijiuzulu na jeshi zima lijiuzulu maana they all fall to him scientifically.
Tuache politic tujenge nchi, tutatue matatizo yetu kitaalamu, tufuatilie mambo kitaalamu na tufanye investigation kitaalamu na siyo kuropoka au kukurupuka na kujibu au kshabikia mambo kisias.