JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

Tz kuna vilaza ila hawa wamezi duh yaani wanatema pumba tu.
 
tusispeculate.. eti waandishi waandike habari nzuri tu
 
yaani hapa ndo palikuwa pa kutokea.......pale uwanja wa uhuru si kuna watu pale.....ilitakiwa wote twende pale na hatutoki mpka jk ameomdoka madarakani.....vinginevyo hawa jamaa watatusumbua sana na sias za kishenzi na maneno ya jk ( machungu yenu ni machungu yangu)

Mkuu unalolisema nila kweli twendeni tukalianzishe palepale Uhuru hakuna kutoka mpaka Kikwete ameondoka Ikulu na Mafisadi wenzake Huu ndio muda muwaafaka wa Kufanya maandamano ya kulikomboa Hili Taifa, Kikwete mwendawazimu, Mkuu wa jeshi Chizi, waziri wa ulinzi Kilaza. Twewndeni tutaanze kazi ya kuandamana pale Uhuru
 
Nyadhifa za kijeshi sio kama za kisiasa na hivyo hakuna kujiuzuru.
 
swala la kujiuzuru-naona amelikataa-ila amezungumzia upande mmoja wa jeshi tu.hajasema kuhusu viongoz wa kisiasa wao wafanye nini
 
Preemption @ work!

Nono: siyo kwamba thread haitendewi haki, bali ni kwamba the so called "Brig Gen Meela" ametia aibu sana kwenye hiyo press conference!

Ndiyo maana alikuwa anawaambia waandishi wa habari kuwa "..naomba nisiwachoshe..." & "..ajali ya Mbagala na hii ni tofauti..." & "..mabomu ni mapya.." & " ..naomba muhandike habari nzuri.."

It was like a pre-dictated statement ambayo hata yeye anayesoma was not happy about the contents!
 
Asanteni sana wana jf kwa kutujuza. Ila hawa jamaa hata wasingeitisha press conference ingekuwa sawa tu manake tumerudi tulikokuwa kabla hawajaitisha conference!
 
Nimefatilia mchakato unaoendelea TBC1 nimegundua: hawa Makamanda ujibuji wao wa maswali yanayoulizwa ni wa kibabe mno: Sizani kama kinachoulizwa ndicho kinajibiwa, kwakweli ushirikiano ni mdogo kwa waandishi wa habari.
 
Picha la kihindi ndio linaishia na stelingi kafufuka... maua na kucheza kwenye garden

Mtangazaji wa TBC anakera kwa kuingilia maswali ili atoe muhtasari wake shoddy
 
kwa hiyo tusubili uchunguzi ufanyike!mbona matokeo ya uchunguzi wa mabomu ya mbagala hatujafahamishwa mbaka sasa?
 
Nimefatilia mchakato unaoendelea TBC1 nimegundua: hawa Makamanda ujibuji wao wa maswali yanayoulizwa ni wa kibabe mno: Sizani kama kinachoulizwa ndicho kinajibiwa, kwakweli ushirikiano ni mdogo kwa waandishi wa habari.

wanajibu kwa kadri wanavyotakiwa bwana, siyo kila jibu ni zuri lakini ni jibu
 
Tunataka maelezo ya kina.... Hata kama akijiuzulu, haitakuwa solution.... Aaaaaaaaaaaaaaaggggggghhhh!!!!!!
 
Twende mbele turudi nyuma... ufisadi becasue of poor procurement and supply chain management ndio chanzo cha maafa yaliyotokea

tutazunguka weeeeeeeeeeeee, lakini wapi!!!
 
Twende mbele turudi nyuma... ufisadi becasue of poor procurement and supply chain management ndio chanzo cha maafa yaliyotokea

tutazunguka weeeeeeeeeeeee, lakini wapi!!!

umenena, unakunywa bia gani?
 
hivi kutumia power point kuelezea siri za nchi ni sahihi? mi naona hapo anatoa ramani na siri nzito kwa kutumia hiyo power point ..........

na jana jk alisema kuwa g'mboto ndo kambi yenye silaha nzito....

wangefanya hivi na kwa wamiliki wa dowans ingekuwa powa kweli
 
bado uchunguzi unaendelea na kikao iz ova..
 
Back
Top Bottom