Kaka habari kutozipata mapema si kwa sababu ya mgao wa umeme, bali ni mfumo wa utendaji kazi mbaya si kwa vyombo vya serikali bali pia hata kwa vyombo binafsi. Imagine tukio linatokea Dar, Gongolamboto sehemu inayofikika kirahisi maana ni njiani kabisa na barabara ni lami tupu lakini hakuna hata TV station hata moja ilorusha picha za matukio hadi ilipofika saa sita usiku, wakati mchezo umeanza rasmi toka saa moja na nusu usiku???.
Hata kama wasingerusha picha za ndani ya jeshi kutokana na sababu za kiintelejensia, lakini japo tu kuonesha misululu ya watu barabarani wanavyohangaika na watoto ingesaidia saana watu kuweza locate ndugu na jamaa zao. Watanzania wenye vyombo vya habari tuwe wabunifu jamani, tusifurahie tu BBC, Aljazeera, Sky news na CNN wanavyorusha matukio yao, bali tujifunze kutoka kwao.
big shamehuyu jamaa ni brig gen kweli au?
It is amazing kuona jinsi alivyo-low, anaongea kama "private dadu"...
Kama huyu ndiye mkuu wa usalama na utambuzi , basi hatuna jeshi bali men in uniform!! It is shame!!!!
Nadhani hawakuja na jipya hao mabwana, nitarudi badae!