JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

huyu jamaa hana la kutueleza, nahisi huko jeshini kuna ishu amabzo haziendi fresh, niliwasikia baadhi yao wakilalama kuwa jamaa hawajali kivile yaani mslahi yao yanabanwa, soo inawezekana ndio wameamua kulipua maghala ya mabomu wakitaka Mwamunyange ajiuzulu.

Duh mkuu isije ikawa kweli wakalipua na ya Lugalo ikawa Zahma - naona hayo yatalenga masaki na O'bey ili na wao tuwaone watakimbilia wapi, Baharini au huku kwetu.
 
Siku zote serilkali za kifisadi huwatumikia mafisadi na huwasahau kabisa wale wanyonge wenye nchi na walio wengi!!!
 
Hivi kunajipya kweli???? I doubt it.
 
Kama jambo limeshazungumziwa na Amiri Jeshi Mkuu ambaye yuko juu ya Mkuu wa Majeshi kuna haja gani ya jambo hilo hilo kuzungumziwa na mtu wa chini yake? Hata hivyo kwa sasa uhuru wa habari umeminywa sana na mgao wa umeme. Ni aibu mtu kama mimi nimejua kuna milipuko kupitia mtandaoni. Yaani BREAK NEWS sikuzipata hata habari za jana asubuhi sikuzipata hadi nilipoingia ofisini.

Kaka habari kutozipata mapema si kwa sababu ya mgao wa umeme, bali ni mfumo wa utendaji kazi mbaya si kwa vyombo vya serikali bali pia hata kwa vyombo binafsi. Imagine tukio linatokea Dar, Gongolamboto sehemu inayofikika kirahisi maana ni njiani kabisa na barabara ni lami tupu lakini hakuna hata TV station hata moja ilorusha picha za matukio hadi ilipofika saa sita usiku, wakati mchezo umeanza rasmi toka saa moja na nusu usiku???.

Hata kama wasingerusha picha za ndani ya jeshi kutokana na sababu za kiintelejensia, lakini japo tu kuonesha misululu ya watu barabarani wanavyohangaika na watoto ingesaidia saana watu kuweza locate ndugu na jamaa zao. Watanzania wenye vyombo vya habari tuwe wabunifu jamani, tusifurahie tu BBC, Aljazeera, Sky news na CNN wanavyorusha matukio yao, bali tujifunze kutoka kwao.
 
I think to stop all these impunities these two guys must go!
 
Mkuu wa usalama na utambuzi JWTZ analonga
mkaguzi mkuu JWTZ yupo
mkurugenzi wa usalama jeshini yupo
 
Simuoni mwamunyange na wameanza kwa one minute of silence

brg. Paul ingas meela, mkuu wa usalama na utambuzi (along with mndeme mkaguzi mkuu, na kanali kapesa, director of security)

wanasema objective ni kutoa ripoti, sasa sijui ripoti ngapi zinatoka na kama tume imeshafanya kazi... Nasema hivi kwasababu jk ameshaomba marafikiw atusaidie kwenye uchunguzi, sasa sipati picha uchunguzi ripoti wakati presidaa ameshaomba msaada
 
Anajitambulisha kwamba yeye ni Brigadia sijui nani na amefuatana na brigadia mwingine pamoja na Kanali Kapesa, bado anawatambulisha wenzake ambao wote wako kitengo cha usalama na utambuzi na habari
 
Simuoni mwamunyange na wameanza kwa one minute of silence

brg. Paul ingas meela, mkuu wa usalama na utambuzi (along with mndeme mkaguzi mkuu, na kanali kapesa, director of security)

wanasema objective ni kutoa ripoti, sasa sijui ripoti ngapi zinatoka na kama tume imeshafanya kazi... Nasema hivi kwasababu jk ameshaomba marafikiw atusaidie kwenye uchunguzi, sasa sipati picha uchunguzi ripoti wakati presidaa ameshaomba msaada
Inabidi waulizwe
 
mod badili title ya siredi, Mwamunyange kalala mbele
 
Mwamunyange hayupo?

Shimbo hayupo?

Hawa wanatoa ripoti gani sasa? w.*.f!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom