Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
mwamunyage hayupo
yupo shehe yahaya?
mwamunyage hayupo
Mwamunyange hayupo?
HEADING YA HII THREAD... MH!!!
Mwamunyange ameitwa gafla kwenye shughuli nyingine
Mwamunyange ameitwa gafula kwa hiyo hakuweza kutoa hii taarifa!!
We halisi... mbona huyo mkuu wa jeshi hajaongea na hadi sasa ni nusu saa imepita? au soon in sswahili means later?
BTW, nimeona leo saa saba wanahangaika kweli kutokea kawe na lugalo lakini hawakwenda ikulu nadhani waliishia masaki... magari ya jeshi yalikua mengi kuanzi malori, land rover hadi zile pickup zao na taa za hazard
kama una simu yenye radio tune radio ONE na tbc wanatangaza unaweza pata chochote hata kama huna tv