Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Nasema kwa mara ya mwisho.
JWTZ msiendeleze mazungumzo na Samia wala CCM. Msikubali Nchimbi ndo awe Rais.
Nchi hii haihitaji tena CCM kwa sababu wao ndo wametufikisha hapa. Wananchi hawawataki CCM wote sio Samia tu.
Chukueni uongozi wa hii nchi kwa kipindi cha Mpito. Simamieni mchakato wa Katiba Mpya na kuundwa upya kwa Taasisi Huru kweli ya Tume ya Uchaguzi then simamiaeni Uchaguzi mpya na kuapishwa kwa Rais mpya na Serikali mpya ndipo muachie kuiongoza hii nchi.
Sikilizeni kilio cha Watanzania. Nchi hii haimuhitaji Nchimbi. Kuna Watanzania wengi tupo tutawapa mawazo ya kuongoza kipindi cha mpito.
Fanyeni maamuzi haraka kabla Samia hajafanikisha mpango wake wa Tume kumtangaza kuwa mshindi wa Uchaguzi then akaomba Jeshi la Uganda kuja kuivamia Tanzania kumrudisha madarakani.
Kumbukeni Samia hana uchungu na Tanzania hasa Tanganyika yeye ana uchungu na madaraka. Kumbuleni CCM wanachotaka ni madaraka ili waendelee kuila na kuitawala Tanzania na sio kuifanya Tanzania kuwa Nchi yenye maendeleo ya kweli.
Simamieni kweli matakwa na maslahi ya Wananchi wengi na tangazeni mmechukua nchi haraka.
JWTZ msiendeleze mazungumzo na Samia wala CCM. Msikubali Nchimbi ndo awe Rais.
Nchi hii haihitaji tena CCM kwa sababu wao ndo wametufikisha hapa. Wananchi hawawataki CCM wote sio Samia tu.
Chukueni uongozi wa hii nchi kwa kipindi cha Mpito. Simamieni mchakato wa Katiba Mpya na kuundwa upya kwa Taasisi Huru kweli ya Tume ya Uchaguzi then simamiaeni Uchaguzi mpya na kuapishwa kwa Rais mpya na Serikali mpya ndipo muachie kuiongoza hii nchi.
Sikilizeni kilio cha Watanzania. Nchi hii haimuhitaji Nchimbi. Kuna Watanzania wengi tupo tutawapa mawazo ya kuongoza kipindi cha mpito.
Fanyeni maamuzi haraka kabla Samia hajafanikisha mpango wake wa Tume kumtangaza kuwa mshindi wa Uchaguzi then akaomba Jeshi la Uganda kuja kuivamia Tanzania kumrudisha madarakani.
Kumbukeni Samia hana uchungu na Tanzania hasa Tanganyika yeye ana uchungu na madaraka. Kumbuleni CCM wanachotaka ni madaraka ili waendelee kuila na kuitawala Tanzania na sio kuifanya Tanzania kuwa Nchi yenye maendeleo ya kweli.
Simamieni kweli matakwa na maslahi ya Wananchi wengi na tangazeni mmechukua nchi haraka.