Daud mwita
Member
- Feb 15, 2022
- 32
- 8
Jeshi lolote wanaokimbia kozi hawakosekani usifikiri kwa kukariri uliyoyaona kwenye mazingira yakoNani katisha mtu hapa au kaongea ukweli!
Ingekuwa ni ya kawaida watu wasingekuwa wanakimbia hayo mafunzo!
Narudia usije ukaongea kwamba mafunzo ya TPDF ni ya kawaida maana utaonekana kituko kwa watu waliopita huko!
Narudia: Jeshi sio lelemama, sio jeshi la Polisi au Magereza namaanisha JWTZ