Jwtz kusitisha kuajili graduates kwa muda

Mimi hii taarifa imeni'disappoint sana, nadhani kitendo cha watu kupeleka maombi makao makuu kumesababisha!
 
Source:chanzo cha ndani jwtz-utawala(HQ-Upanga) Kwa mujibu wa chanzo husika hapo juu,napenda kuwafahamisha wale ndugu zangu wote ambao kwa muda mrefu sasa,wanahangaika kupata taarifa huku wakisubiri kwa hamu kubwa kujiunga na Jwtz.Kuwa kutokana na mabadiliko ya kimfumo na kimkakati jeshi linasitisha kwa muda recruitment kwa profesional graduates,na sasa linajikita zaidi kuwaendeleza askari wa ndani hasa kielimu,ili kuweza kushika nafasi mbalimbali za kitaalam jeshini,kwani inaonekana hawa ndiyo wana uzalendo wa kweli tofauti na graduates ambao wengi wao,wanaingia jeshini kupata vyeo na maslahi makubwa

maslahi yapi makubwa?tufafanulie. graduate anaaza na uluteni na daktari ucaptain. tofauti ya mishahara ipoje na serikalini au sekta binafsi?
 
Kwani mtu aliye msomi anakuwa sio mzalendo!!?
Na asiye msomi ndio mzalemdo!?
Akili za wanajeshi bwana!

Hapa naona vigogo wanaogopa damu mpya iliyoenda shule,hakuna lolote.eti uzalendo!
 
Mkuu uliyeleta uzi. Sio kila unaloambiwa na watu wa HQ unaamini. Nafasi kutolewa kipindi hiki ni vigumu, 7bu kunamambo ya bajeti hayajakaa vizuri kabisaaaa, even kunahata baadhi ya madai bado serikari haijayaweka sawa kwenye jeshi. So hicho unachosema hakina uhusiano kabisa. WENGINE WANATOKA WENGINE WANAINGIA.
 
Tunashukuru kwa taarifa. Lakini je umetumwa kutoa hizo habari za ndani ya jeshi?

Hiyo ndio shukrani yako au siyo,huu ni upendo tu kwa vijana wezangu ambao wanahitaji taarifa kama hizi na hawana vyanzo sahihi,lakini kama unafikiri hilo ni kosa lazima ujue ni kosa kwa mujibu wa sheria gani anko.
 
maslahi yapi makubwa?tufafanulie. graduate anaaza na uluteni na daktari ucaptain. tofauti ya mishahara ipoje na serikalini au sekta binafsi?

Suala la mishahara na maslahi, ndio kitu ambacho sipendi kukiongelea hapa,lakini kwa kifupi maslahi jeshini yameboreshwa sana,kuanzia askari wa ngazi za chini hadi juu.Mengine tutajuzana taratibu kwani yanahitaji muda na nafasi ya kutosha,najua umenipata.
 
Mkuu uliyeleta uzi. Sio kila unaloambiwa na watu wa HQ unaamini. Nafasi kutolewa kipindi hiki ni vigumu, 7bu kunamambo ya bajeti hayajakaa vizuri kabisaaaa, even kunahata baadhi ya madai bado serikari haijayaweka sawa kwenye jeshi. So hicho unachosema hakina uhusiano kabisa. WENGINE WANATOKA WENGINE WANAINGIA.

Sikiliza bwana mdogo,HQ ndio kwenye kurugenzi/idara ya uajiri na mafunzo.Hivyo mipango yote huanzia pale.
 
Mimi hii taarifa imeni'disappoint sana, nadhani kitendo cha watu kupeleka maombi makao makuu kumesababisha!

Sikiliza anko,suala siyo kutangaza nafasi tu,kitu cha msingi unachotakiwa ujiulize wewe,ni je hata kama nafasi hizo zingetolewa unge comply na vigezo vinavyotakiwa,kwani vigezo siyo kuwa na shahada tu.
 
Mwaki usilete ubishi, sio kila unachojibiwa na mtu wamakao ndio unakiamini hapohapo. Hata sisi tunao watu wanaotupa taarifa hata kama jeshi linataka kununua CHOPER. Hapa lengo ni kuwasaidia watu. Wengine wiki kadhaa wameleta ubishi humu wakajikuta wanakurupuka kuapply kazi bila tangazo. Na wengine wamedanganywa watoe laki 3 ili wapate nafasi. Hivi ni vitu ambavyo vimefanywa na wafanyakazi haohao wa makao. Wengi hujifanya wanajua sana kipindi hiki, haswa hao vijana wa nyota 2 na 3 waliopangiwa makao. Kaa na wakongwe wakuambie mambo yalivyo.
 
Mimi ni kamanda nina nyota tatu huyu mleta mada kadanganywa, mambo yapo hivii jeshi linajikita kuchukua formfour wengii kuliko wenye degree hii ni kwamba hao wenye degree mara wapatapo kazi huwa maofisa nikimaanisha nyota moja kwenda juu,wakati hawa formfour hawapewi cheo ,suala ni kwamba watendaji ni formfour na hawa magraduate ni maofisa tu
 
Sikiliza anko,suala siyo kutangaza nafasi tu,kitu cha msingi unachotakiwa ujiulize wewe,ni je hata kama nafasi hizo zingetolewa unge comply na vigezo vinavyotakiwa,kwani vigezo siyo kuwa na shahada tu.

Mkuu vigezo vingine ni vipi? Mie najua ni umri, afya na elimu. Hebu nifafanulie mkuu!
 
Mimi ni kamanda nina nyota tatu huyu mleta mada kadanganywa, mambo yapo hivii jeshi linajikita kuchukua formfour wengii kuliko wenye degree hii ni kwamba hao wenye degree mara wapatapo kazi huwa maofisa nikimaanisha nyota moja kwenda juu,wakati hawa formfour hawapewi cheo ,suala ni kwamba watendaji ni formfour na hawa magraduate ni maofisa tu

Umesomeka vyema we jamaa!
 
Mwaki usilete ubishi, sio kila unachojibiwa na mtu wamakao ndio unakiamini hapohapo. Hata sisi tunao watu wanaotupa taarifa hata kama jeshi linataka kununua CHOPER. Hapa lengo ni kuwasaidia watu. Wengine wiki kadhaa wameleta ubishi humu wakajikuta wanakurupuka kuapply kazi bila tangazo. Na wengine wamedanganywa watoe laki 3 ili wapate nafasi. Hivi ni vitu ambavyo vimefanywa na wafanyakazi haohao wa makao. Wengi hujifanya wanajua sana kipindi hiki, haswa hao vijana wa nyota 2 na 3 waliopangiwa makao. Kaa na wakongwe wakuambie mambo yalivyo.

Mpwa umefunguka vyema, nadhani hatupaswi kukurupuka kwenye jambo hili teh!
 
Sasa na sisi 2liokua na uzalendo wa kuingia jeshini tokea mda mrefu ila kitabu ndo kilikua kime2bana itakuaje??? Na sasa ndo 2meshagraduate na hali ndo inakua hivyo ....is tht fare wht thy ar dng???
 
Mimi ni chanzo cha ndani pia,hVery impossible rely kwa walio ndani kwani wengi ni vilaza na wengi wao walifoji vyeti-Nakanusha!
Fresh recruits wana nafasi zao na wakongwe wana mipaka yao,counts on me utaskia ads za professionals km kawaida-
kp going bros n sisterz!
 
Mimi ni chanzo cha ndani pia,hVery impossible rely kwa walio ndani kwani wengi ni vilaza na wengi wao walifoji vyeti-Nakanusha!
Fresh recruits wana nafasi zao na wakongwe wana mipaka yao,counts on me utaskia ads za professionals km kawaida-
kp going bros n sisterz!

Amen! Tupo tayari!
 
Mimi ni kamanda nina nyota tatu huyu mleta mada kadanganywa, mambo yapo hivii jeshi linajikita kuchukua formfour wengii kuliko wenye degree hii ni kwamba hao wenye degree mara wapatapo kazi huwa maofisa nikimaanisha nyota moja kwenda juu,wakati hawa formfour hawapewi cheo ,suala ni kwamba watendaji ni formfour na hawa magraduate ni maofisa tu

Kamanda wa nyota tatu?hivi nikikuuliza chuo wanachosomea ukamanda na unadhimu,unaweza kunijibu kweli Take care bro,hii siyo siasa.
 
Mwaki usilete ubishi, sio kila unachojibiwa na mtu wamakao ndio unakiamini hapohapo. Hata sisi tunao watu wanaotupa taarifa hata kama jeshi linataka kununua CHOPER. Hapa lengo ni kuwasaidia watu. Wengine wiki kadhaa wameleta ubishi humu wakajikuta wanakurupuka kuapply kazi bila tangazo. Na wengine wamedanganywa watoe laki 3 ili wapate nafasi. Hivi ni vitu ambavyo vimefanywa na wafanyakazi haohao wa makao. Wengi hujifanya wanajua sana kipindi hiki, haswa hao vijana wa nyota 2 na 3 waliopangiwa makao. Kaa na wakongwe wakuambie mambo yalivyo.

suala la msingi hapa ni kuleta taarifa sahihi kabisa,ili kuwaokoa wadogo zetu kuingia mikononi mwa matapeli,au mpaka nikwambie nina undugu na General ndiyo utaamini?
 
Mimi ni chanzo cha ndani pia,hVery impossible rely kwa walio ndani kwani wengi ni vilaza na wengi wao walifoji vyeti-Nakanusha!
Fresh recruits wana nafasi zao na wakongwe wana mipaka yao,counts on me utaskia ads za professionals km kawaida-
kp going bros n sisterz!

Wewe ni chanzo cha ndani. Na walio ndani, wengi ni vilaza na wamefoji vyeti.Je na wewe haumo ktk makundi hayo.Unaweza kuniambia mkurugenzi wa mawasiliano jeshini anaitwa nani?
 
Back
Top Bottom