Hao waliovaa mabaka na kofia nyekundu ni kutoka kamandi ya nchi kavu kikosi maalum(komandoo)
Hao waliovaa kama nyeusi/dark blue ni kutoka kamandi ya maji kikosi maalum ie ni makomandoo lakini wa navy
Kweli aisee natamani pia kama askari wa kwenye hifadhi wataongezwa alafu swali lingine nalojiuliza hivi jeshini kuna kikosi au kitengo chochote wanachoruhusiwa kufuga ndevu na nywele pindi wawapo kazini?
Aisee wamekwiva hatari naona kila mmoja anashuka kwa aina yake haya mambo tumezoea kuyaona kwa US army lakini inadhihirisha kwamba TZ tupo vyema kwasasa tumepiga hatua
Nimeona polisi kwenye hiki kikosi naomba kufahamishwa imekaaje
Ila nimependa sana hii show na ninaimani iliwavutia watanzania wengi