Demu anamshangaa Jux kutokuwa na nguvu za kiume na hana mbegu Iła maji taka tu.....wameazima mbegu za Diamond kumpandikiza demu.Mbona wamegeukia pande tofauti? Je ndio mwanzo wa separation?
Graham kuna magoli mengine yanauma sana ukumbuke hilo 😅Kama ni mechi ya mpira wa miguu, mpira umeisha Nigeria 2-Tanzania 2 🤗
Acha kumsema Mama Mtumishi mbea 😅😅😅😅 Ila Jux sijui kwanini ananuna sana, anakaza kama kishachoka mtiririko wa sherehe kila kukicha.Umbea tu!
Rafiki pale hakuna ubebe weeh ungekubaliiRafiki au Bebe
Shida sio sherehe shida madeni...😂Acha kumsema Mama Mtumishi mbea 😅😅😅😅 Ila Jix sijui kwanini ananuna sana, anakaza kama kishachoka mtiririko wa sherehe kila kukicha.
Inabidi naye ajitahidi ampige mimba mbili mbili ili kumfikia Rotimi Kwa Vanessa 😜Graham kuna magoli mengine yanauma sana ukumbuke hilo 😅
Magoli ya Vee Money ni machungu sana kwa Jux na yote yalikuwa ya counter attack 🤣🤣🤣
Hizo ni sherehe tu, bado maisha baada ya sherehe. Vacation, Birthday, Anniversary n.k asiporudi kwenye ile biashara sijui.Shida sio sherehe shida madeni...😂
Assalam alyeikum....😂Hizo ni sherehe tu, bado maisha baada ya sherehe. Vacation, Birthday, Anniversary n.k asiporudi kwenye ile biashara sijui.
Umbea tu 🤣🤣🤣🤣Assalam alyeikum....😂
Lione..😅Umbea tu 🤣🤣🤣🤣
Pozi 😂Mbona wamegeukia pande tofauti? Je ndio mwanzo wa separation?