Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,526
Ama kweli jitihada haizidi uwezo... proud of Zizou.
Wa kwanza mimi namtetea khaaa!!! Muache kibabu cha watu!! Kimejitahidi beki zenyewe hovyooo!! Hayo mambo ya kuokoa timu mtu mmoja anayawezaga De Gea tu !!!!!!!
Yaani hilo ndo lilikuwa kosa kubwa sana daaah!! Dybala anavyolia i feel him.... amekula kiatu sana kipindi cha kwanza,alicheza kwa kujituma anyway ndo mpira huo!! Kila unaporuhusu kosa ndo goli.Today juve players looked too amateurish in second half, ile temperament waliyoanza nayo kipindi cha kwanza ilipotezwa ghafla na casemiro!! Na hapo ndipo walipo mruhusu isco kufanya atakavyo.
Nilishawahi kukukatazaga huo ujinga wako na huyo Mourinho. Ila daaah, mpaka mwili unasisimka, majonzi ya leo sio mchezo.Ushinde tu dear,win for my sake upate zawadi yako ya Ushindi.....hahaha enzi zetu zile Sikamona!!!..... leo utakuwa Sikamona wangu pigana kama Sikamona nikupe Zawadi ya ushindi..... ForzaJuve
Hilo ni kweli kabisa na inatia huruma sana.Hawana uzoefu wa kushinda fainali
Inaumiza sana lakini ndo hivyo wakubali tu,Babu mwenyewe asingeweza,yaani siamini ile Juve iliyocheza kipind cha kwanza ndo hiyo iliyocheza kipindi cha pili,ingekuwa huku tungesema wazee wamefanya mambo hahaaa!!Aisee kama ungepata bahati ya kuona Torino watu walivyoumizana huwezi amini wengine wameacha viatu vyao dahh jamaa wanatokwa damu,juve kulikosa kombe hili dah
Inaumiza sana lakini ndo hivyo wakubali tu,Babu mwenyewe asingeweza,yaani siamini ile Juve iliyocheza kipind cha kwanza ndo hiyo iliyocheza kipindi cha pili,ingekuwa huku tungesema wazee wamefanya mambo hahaaa!!
Hahaha... Kiukweli sijafurahi hata kidogo haiwezekani nyie mchukue la 12 wakati huo Mzee wangu hapo kila siku anaishia kunyanyua hilo unaloliona kwenye avatar yangu hapo.Lizarazu nakuheshimu sana pole naona karata zako zimechezwa vibaya
Dady daahh!! Acha tu leo tumfariji tu Mou yaani daaahh!! Inaumizaa!!......... Ila na nyie Barca nyie ndo wachawi mlikamia sana Juve ashinde mumcheke RM matokeo kibao kimegeuka!!Nilishawahi kukukatazaga huo ujinga wako na huyo Mourinho. Ila daaah, mpaka mwili unasisimka, majonzi ya leo sio mchezo.
Basi ukanifariji kipenzi, haya maumivu ya leo ni too much.....dah Juventus yangu weeeInaumiza sana lakini ndo hivyo wakubali tu,Babu mwenyewe asingeweza,yaani siamini ile Juve iliyocheza kipind cha kwanza ndo hiyo iliyocheza kipindi cha pili,ingekuwa huku tungesema wazee wamefanya mambo hahaaa!!
Lakini kwa upande mwingine juve nao wamajitakia!! Beki zao zimekatika sana Leo utafikiri walikuwa hawachezi na real Madrid na higuan nae sijajua ni kwanini kacheza dakika zote zileMimi mwenyewe nimeshindwa kuamini mpila gani wamecheza Leo..
Haijanivutia kabisa final ya leo.
Hongera kwa R.Madrid.
Hivi kumbe ule msemo wa kwamba ronaldo anavunja record za Messi wakati huo Messi anaweka record zake mwenyewe ni kweli?Ni kukabidhiwa kombe na Ronaldo amefikia record ya Messi ya kushinda UEFA CHAMPIONS ligi mara nne
Pole sana dear wangu,mimi tena faraja yangu iko pale pale katika shida na raha,take it easy wangu mwakani nao ni mwaka mkifanya usajiri vizuri tena hope mambo yatajipa........ dear achana na soka hili twenzetu tukale soka safi isiyo na mshindani!!!Basi ukanifariji kipenzi, haya maumivu ya leo ni too much.....dah Juventus yangu weee