Justin welby, neno lako limetugusa wengi

Justin welby, neno lako limetugusa wengi

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
22,762
Reaction score
27,493
K
FB_IMG_16636475646000266.jpg
Kutoka kwa Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby wakati wa ibada ya mazishi:

Aliwaambia waliohudhuria mazishi ya Malkia kwamba huzuni iliyowapata wengi imetokana na "maisha ya UKARIMU na huduma ya UPENDO ya Malkia, ambayo sasa imetutoka".

Aliendelea: "Watu wanaotumikia kwa UPENDO ni nadra sana katika nyanja yoyote ya maisha. Viongozi wa huduma ya UPENDO bado ni wachache. Lakini katika hali zote, wale wanaohudumu watapendwa na kukumbukwa kwa muda mrefu, wakati wale wanaong'ang'ania mamlaka na upendeleo na kuumiza wengine kubaguana, wanasahaulika mara moja. Huzuni ya siku hii, si tu kwa familia ya marehemu Malkia lakini ya taifa lote, Jumuiya ya Madola na dunia kwa ujumla.
Tafakari somo hili.
 
Kwaiyo malkia haku ng'ang'ania mamlaka?
 
Aliyekua anamtumikia mwenzake ni nani, uingereza au malkia? Unafki katika kiwango chake cha juu.
 
Ni kwamba uwe tajiri uwe maskini ,watu watakumbuka utu wako uliwai kuwafanyia utakapokufa ila sio Mali zako....Ata uwe vip utakufa tu!! Kumbuka mengi alipofariki Kuna walemavu walilia sana maana alikuwa akiwasaidia sana na walipewa fursa ya kumuaga mpendwa wao ile ndo upendo na heshima kwake mungu amuweke sehemu salama.

Lakini hii dunia ukiwa tapeli, mwizi, mzinzi final utakufa tu na watu watashukuru kwa kifo chako kwani ulikuwa mtu hatar hata uwe ni tajiri kiwango gani. Gap la Maisha lazima liwepo ila upendo pia na kuthaminiana kama binadamu lazima uwe kiwango kile kule kwa level zote.
 
KView attachment 2362260Kutoka kwa Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby wakati wa ibada ya mazishi:

Aliwaambia waliohudhuria mazishi ya Malkia kwamba huzuni iliyowapata wengi imetokana na "maisha ya UKARIMU na huduma ya UPENDO ya Malkia, ambayo sasa imetutoka".

Aliendelea: "Watu wanaotumikia kwa UPENDO ni nadra sana katika nyanja yoyote ya maisha. Viongozi wa huduma ya UPENDO bado ni wachache. Lakini katika hali zote, wale wanaohudumu watapendwa na kukumbukwa kwa muda mrefu, wakati wale wanaong'ang'ania mamlaka na upendeleo na kuumiza wengine kubaguana, wanasahaulika mara moja. Huzuni ya siku hii, si tu kwa familia ya marehemu Malkia lakini ya taifa lote, Jumuiya ya Madola na dunia kwa ujumla.
Tafakari somo hili.
Maneno yanashibisha haya.
 
Ni kwamba uwe tajiri uwe maskini ,watu watakumbuka utu wako uliwai kuwafanyia utakapokufa ila sio Mali zako....Ata uwe vip utakufa tu!! Kumbuka mengi alipofariki Kuna walamavu walilia sana maana alikuwa akiwasaidia sana na walipewa fursa ya kumuaga mpendwa wao ile nod upendo na heshima kwake mungu amuweke sehemu salama.

Lakini hij dunia ukiwa tapeli, mwizi, mzinzi final utakufa tu na watu watashukuru kwa kifo chako kwani ulikuwa mtu hatar hata uwe ni tajiri kiwango gani. Gap la Maisha lazima liwepo ila upendo pia na kuthaminiana kama binadamu lazima uwe kiwango kile kule kwa level zote.
Naungana nawe mkuu.
 
Back
Top Bottom