DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Fikra potofu
Fikra potofu
mkuu unaonekana una sili kubwa kuhusu hili kuliko wote waliotoa maoni yao hapa tujuze tafadhariUmaarufu wa hollywood una gharama zake dogo hayuko sawa kitambo kuna kitu kinaendelea namuona anajitahid sana kua karibu na Mungu
Ukweli ni kwamba hard work paysAmna ajuae ukweli apa zote ni hypothesis
Mkuu kale kadripu swaga aisee kama kamkoba flani hivi hatar sana[emoji23][emoji23][emoji23] maisha wewee...
Kwa kuimba sanaKwaio Amelipwa kwa madrip?
KwelMore money more problems
Depression, stress kitu kibaya sana nani anajua mikataba ya kiroho aliyoingia
More money more problems
Izo drip ni photoshopna izo drip vp?
Ana cancer ya damu....Wana Jf Several days nmeona uyu dogo ambaye ni mwanamuziki mzuri tu kwenye Game la Muziki sasa anatembea na Drip ambayo inasemekana ni ya kuongeza Nguvu,Kuondoka stress maana wanasema Yuko depressed sana Je nini kinamtafuna huyu dogo? Wenye kujua waje na ukweli wa mambo..View attachment 1214414
unajaza juice ya azam ya ukwaju 😁 😁 😁 😁Unaweza ukawa bichwa maji alafu ukafa kwa kiu