Justin Bieber Hali ni Tete kulikoni?

Justin Bieber Hali ni Tete kulikoni?

Moo Click

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
3,495
Reaction score
3,261
Wana Jf Several days nmeona huyu dogo ambaye ni mwanamuziki mzuri tu kwenye Game la muziki sasa anatembea na Drip ambayo inasemekana ni ya kuongeza Nguvu kuondoka stress maana wanasema yuko depressed sana.

Je, nini kinamtafuna huyu dogo?

Wenye kujua waje na ukweli wa mambo.

2019-09-23%2021.34.45.jpeg
 
Hawa watu sijui huwa wanakwama wapi? Yaani wanapesa lakini wanakuwa na upumbavu mwingi.
Ngada hizo.
 
Depression, stress kitu kibaya sana nani anajua mikataba ya kiroho aliyoingia, fame mwisho wake inakuja kuwa shame, ukifuatilia historia za wanamziki waliohit sana wanakuja kuishia kwenye matatizo makubwa na hata kujiua, just imagine u akuwa unahela na kila kitu na haziwezi kukusaidia
 
666
Depression, stress kitu kibaya sana nani anajua mikataba ya kiroho aliyoingia, fame mwisho wake inakuja kuwa shame, ukifuatilia historia za wanamziki waliohit sana wanakuja kuishia kwenye matatizo makubwa na hata kujiua, just imagine u akuwa unahela na kila kitu na haziwezi kukusaidia
 
Back
Top Bottom