Justice For Mnyika

Yupo shule huyo SI unajua shule ilivyongumu
 
Sijajua Mnyika ana plan gani labda anataka aachane na siasa maana mimi sio UKAWA lakini tunampoteza mtu mpambanaji.
 
CHADEMA ya akina Mnyika, slaa, Zitto ni sawa na Simba ya akina Okwi, Mafisango na Samatta haiji kutokea tena
Tena narudia tena..kadri tunavyosonga mbele vizazi vinavyopenda harakati za kisiasa kwa dhati vinapotea siku hadi siku..siku hizi vijana wanapenda udaku tu.
 
Kimya kivipi? Hivi hamjui kuwa shughuli zote za kisiasa Kuna jamaa wamekataza??? Bunge halionekani!!!! Sasa mtamuona wapi?

John Mnyika njoo ujibu tujue moja, otherwise kesho nakuja kwako Kibamba
 
kama yeye mwenyewe yupo kimya analia ndani kwa ndani wewe machozi yanakutoka ya nn? akimaliza kulia ndani atatoa kilio chake nje then tutamsaidia kupaza sauti
 
Unataka kutuondoa kwenye hoja iliyopo ki pu mba vu
 
 
Mkuu mapambano ya ufisadi hayana vyama. Tusikubali dhulma anayofanyiwa Mnyika na mafisadi eti kwa sababu kabaki peke yake ndani ya chama anayepinga ufisadi.
 
kama yeye mwenyewe yupo kimya analia ndani kwa ndani wewe machozi yanakutoka ya nn? akimaliza kulia ndani atatoa kilio chake nje then tutamsaidia kupaza sauti
#JUSTICEFORMNYIKA
 
Kimya kivipi? Hivi hamjui kuwa shughuli zote za kisiasa Kuna jamaa wamekataza??? Bunge halionekani!!!! Sasa mtamuona wapi?

John Mnyika njoo ujibu tujue moja, otherwise kesho nakuja kwako Kibamba
Mkuu Mnyika awezi kuja hapa, amebanwa kila kona. Tuendelee kumuombea, vita ya ufisadi sio lele mama.
 
Nadhani umeamua jumapili ufanye kioja. Ingekuwa bora ukakaa na familia yako badala ya kutuletea ungutubange wako
 
Mmiliki wa Richmond ni JK na mnyika hana tatizo na mtu acheni kumpakazia uongo yawezekana ile kamati ya ufundi ya CCM ndiyo inamdhoofisha kimya kimya kuoitia yule mama aliyemshinda kwenye uchakaguzi.
 
Mmiliki wa Richmond ni JK na mnyika hana tatizo na mtu acheni kumpakazia uongo yawezekana ile kamati ya ufundi ya CCM ndiyo inamdhoofisha kimya kimya kuoitia yule mama aliyemshinda kwenye uchakaguzi.
Mkuu kumbuka ufisadi hauna chama, tutapambana na mafisadi ata yakikimbilia kusafishwa kwenye vyama na makanisa. Leo kuna watu wanasema ufisadi ni outdated hii Mnyika ndio ataki kusikia.
 
Kama ulikuwa mfuasi wa kweli ungepaswa kujua kilichomkeep busy mpaka haonekani hata mjengoni.
 
Mlijiuza wenyewe tulieni mtumike sasa! hayo ndo mabadiliko! hivi ccm walivyo wavumilivu mkiona mtu wamemchoka hamjiulizi mnazoazoa tuuu! haya mmejipalia mkaa wacha uwaunguze
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…