Just out of curiosity jamani

Lady N

JF-Expert Member
Nov 1, 2009
1,914
131
Kuna wakati nikisikiliza matangazo ya vifo kwenye radio huwa nashindwa kuelewa watu wanamaanisha nini. Mfano, utasikia mwajuma ndalandefu wa Mbagala anasikitika kutangaza kifo cha babu yake kilichotekea huko Mkuurombo na mazishi yatafanyika Mkuurombo. Mipango ya mazishi inafanyika leo saa---- riverside BAR na sijui BAR gani huko Arusha. Habari ziwafikie
1 Mtoto wa marehem akiwa UK
2 Binamu wa marehemu akiwa Singapore n.k n.k
swali langu ni hili, huko Uk sijui singapore n.k radio tz inasikika kweli? na je hii desturi ya kukutana BAR kupanga taratibu za misiba imekaaje jamani? is it necessary kukutana Bar?
"JUST OUT OF CURIOSITY"
 
Kuna wakati nikisikiliza matangazo ya vifo kwenye radio huwa nashindwa kuelewa watu wanamaanisha nini. Mfano, utasikia mwajuma ndalandefu wa Mbagala anasikitika kutangaza kifo cha babu yake kilichotekea huko Mkuurombo na mazishi yatafanyika Mkuurombo. Mipango ya mazishi inafanyika leo saa---- riverside BAR na sijui BAR gani huko Arusha. Habari ziwafikie
1 Mtoto wa marehem akiwa UK
2 Binamu wa marehemu akiwa Singapore n.k n.k
swali langu ni hili, huko Uk sijui singapore n.k radio tz inasikika kweli? na je hii desturi ya kukutana BAR kupanga taratibu za misiba imekaaje jamani? is it necessary kukutana Bar?
"JUST OUT OF CURIOSITY"
Yes, your curiosity is justified Lady N! Hayo ya redioone kusikika UK au Australia etc sijui, ila nataka kuzungumzia la kukutana BAR kupanga mazishi. Kila jumuia ina utamaduni wake kuhusu mambo ya kifo. Watu wa Kilimanjaro, uchaggani hasa, wana taratibu lukuki zinazohusiana na mazishi. Wote wenye uhusiano na marehemu(ambao kwa kawaida ni wengi) lazima wakutane wapange: a)marehemu azikwe wapi b)marehemu atasafirishwaje kupelekwa kaburini c)mambo mengine mengi kumhusu marehemu na familia anayoiacha.
Kwa kuwa hawa watu ni wengi, lazima watafute sehemu ya mkutano, sehemu yenye nafasi na inayojulikana na wengi.Na pia wakati wa mazungumzo watapenda kunywa kidogo. Kwa wachaga kwa mfano, kukutana na kunywa ni jambo lililo kwenye mila yao. Ni kama wanaijeria na kola nuts au wahaya na kahawa-mbuni.
Swala la mazishi limegubikwa na utamaduni na mila nyingi sana za watu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom