Holly Rich
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 901
- 1,423
Hi nayo ni Point Muhimu Sana... Hakuna haja ya Kufuatiliana Lakini pia kupost post Picha kunaweza kutoleta matokeo mazuri mbeleniSasa si akuhide yeye anaeteseka?
Kuna unuhimu gani wa wewe kupost hao wanaume? Au ndio kumrusha roho nayeye alivyo fala anakufatilia
mliachana kisa nini?
alikuoa au kukuchumbia?
mahusiano yenu yalidumu kwa muda gani kabla ya kuachana?
nataka kumtongoza ili tuyajenge 🤪Umeshakuwa mpelelezi tenasasa itakusaidia nini ukijua haya kwa mtoa mada!
Hi nayo ni Point Muhimu Sana... Hakuna haja ya Kufuatiliana Lakini pia kupost post Picha kunaweza kutoleta matokeo mazuri mbeleni
Amekuambia usiweke picha yoyote na umefanya hivyo kwavile umeruhusu aendelee kua na maamuzi juu ya maisha yako!!!Tangu nimeachana na mwanaume wangu (SIO WA KWAKO TENA) tuna mwaka mmoja sasa hatuna mawasiliano mazuri tulibahatika kupata mtoto mmoja.sasa yeye saizi ana mahusiano mapya na ameyaweka public (ANAENDELEA NA MAISHA YAKE) kwa friends na baadhi ya ndugu but why ana nilimit Mimi kuweka picha za wanaume in ma profile.amenambia nisiweke picha yoyote ya mwanaume imagine ungekuwa wewe ungefanyaje anasema anajisikia vibaya (WAKATI ANA MAHUSIANO MAPYA??) ataki kuwaona (AFUTE NAMBA YAKO)
Swali la maana.umri wenu?
Young girl!!U just help me coz sielew Why he is limiting me to post the mens
Respecting him by disrespecting your needs?😳Cause imefika stage nimeamua tu kumrespect I m not posting the mens kila nikipost lazima tugombane
Move on...oelse utaishia kutafunwa tuCause imefika stage nimeamua tu kumrespect I m not posting the mens kila nikipost lazima tugombane
Kupitia uzi huu nazidi kukubaliana na msimamo wa kutooa single mothers mpaka pale nitakapojiridhisha kuwa baba wa mtoto ni marehem.Tangu nimeachana na mwanaume wangu tuna mwaka mmoja sasa hatuna mawasiliano mazuri tulibahatika kupata mtoto mmoja.sasa yeye saizi ana mahusiano mapya na ameyaweka public kwa friends na baadhi ya ndugu but why ana nilimit Mimi kuweka picha za wanaume in ma profile.amenambia nisiweke picha yoyote ya mwanaume imagine ungekuwa wewe ungefanyaje anasema anajisikia vibaya ataki kuwaona.
Hapo ukute kuna jamaa anajiona kapata single mother safi...kumbe bado anampenda na kumtii baba mtoto wake.Single mothersCause imefika stage nimeamua tu kumrespect I m not posting the mens kila nikipost lazima tugombane