Bin Kawambwa
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 480
- 356
HABARI,
Hiyo hapo 2 bedrooms na public toilet, nzuri ya kuanzia maisha kwa wale wenzangu wanajitafuta, unaweza kuifanya servant quarter, unaweza pia kuifanya ya wapangaji. Gharama zote zilizotumika hapo ni 4.5M, boma hadi kufunika paa, na gharama za fundi zikiwemo.
Wale wenzangu wa kujitafuta karibuni. +255 712 271427
Hiyo hapo 2 bedrooms na public toilet, nzuri ya kuanzia maisha kwa wale wenzangu wanajitafuta, unaweza kuifanya servant quarter, unaweza pia kuifanya ya wapangaji. Gharama zote zilizotumika hapo ni 4.5M, boma hadi kufunika paa, na gharama za fundi zikiwemo.
Wale wenzangu wa kujitafuta karibuni. +255 712 271427