Just 2 bedrooms na toilet

Just 2 bedrooms na toilet

Bin Kawambwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
480
Reaction score
356
HABARI,
Hiyo hapo 2 bedrooms na public toilet, nzuri ya kuanzia maisha kwa wale wenzangu wanajitafuta, unaweza kuifanya servant quarter, unaweza pia kuifanya ya wapangaji. Gharama zote zilizotumika hapo ni 4.5M, boma hadi kufunika paa, na gharama za fundi zikiwemo.

Wale wenzangu wa kujitafuta karibuni. +255 712 271427

IMG_20250822_144339_095.jpg

IMG_20250825_180003_120.jpg
IMG_20250902_175531_775.jpg
IMG_20250921_162215_308~2.jpg
 

Attachments

  • IMG_20250825_143452_974.jpg
    IMG_20250825_143452_974.jpg
    1.4 MB · Views: 12
  • IMG_20250829_132925_440.jpg
    IMG_20250829_132925_440.jpg
    1.1 MB · Views: 11
HABARI,
Hiyo hapo 2 bedrooms na public toilet, nzuri ya kuanzia maisha kwa wale wenzangu wanajitafuta, unaweza kuifanya servant quarter, unaweza pia kuifanya ya wapangaji. Gharama zote zilizotumika hapo ni 4.5M, boma hadi kufunika paa, na gharama za fundi zikiwemo.
Wale wenzangu wa kujitafuta karibuni. +255 712 271427
ujasema unspatikana wapi
 
ujasema unspatikana wap
ujasema unspatikana wapi
Dsm Mkuu,
By the way, Chumba ni elf 30 tu, tunalipa mwezi au miwili unafanya kazi ya watu ikiisha tunarudi.
Umbali sio problem, mafundi tunazurura sana mikoani.

Hata hapa dsm huwez kutoka mbezi uende site chanika au kivule kila siku, ni nafuu kuchukua chumba jirani.
 
Dsm Mkuu,
By the way, Chumba ni elf 30 tu, tunalipa mwezi au miwili unafanya kazi ya watu ikiisha tunarudi.
Umbali sio problem, mafundi tunazurura sana mikoani.

Hata hapa dsm huwez kutoka mbezi uende site chanika au kivule kila siku, ni nafuu kuchukua chumba jirani.

Hata mm nikitaka kujenga nachukua mafundi wa mkoa mwingine ili wafanye kazi chapu
 
Back
Top Bottom