Sasa hapo tyr naingia kazini, haiwez kua bure tu, chukua hizo picha unampa fundi wako wa karibu akupe hesabu yake then utalinganisha, Ukipenda unaweza ku-share na sisi hapa.Naomba uweke mchanganuo wa hiyo 4.5m kuinua boma mpaka kupaua!!! ni hatari sana, au mimi ndio sijaelewa
Exactly 💯 kabisaMillion 4
Huyu amejenga kwa ajili ya wageni,kwa maana hiyo unapikia chumbani, au hakuna kupika msosi kwa mamam ntilie
Boma tu bila finishingkama kweli unatumia 4.5 basi tuuzie hata kwa 6 million tunakupa
Hako kajumba kadogo hakana hata sebule. Kifupi kajenga vyumba viwili na choo.Naomba uweke mchanganuo wa hiyo 4.5m kuinua boma mpaka kupaua!!! ni hatari sana, au mimi ndio sijaelewa