Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Mbunge Ismail Jussa ambaye hana muda mrefu bungeni na hajafaidi matunda ya Bunge, ameomba bungeni mishahara ya wanasiasa ipunguzwe kufidia kipato duni cha wafanyakazi wa umma, kauli yake imepingwa vikali na wabunge ambao wako zaidi ya miaka 20 akiwemo na naibu spika Ana Makinda ambaye alimwambia Jussa kama anataka hivyo, basi aanze Jussa kupunguza mshahara wake!! Wadau wa JF mna maoni gani?