cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Nchi za Kenya, Uganda na Rwanda hongera kwenu,mnaonyesha kwa vitendo juhudi zenu katka kupambana na janga la covid 19
Mmeonyesha wananchi wenu namna mnavyopambana na covid 19 kwa mikakati mbalimbali kama lockdown na kupima watu
Nchi za Tanzania na Burundi hazijaonyesha mikakati muhimu katika kupambana na covid 19,licha ya serikali zao kusema wapo mbele kupambana na covid 19 hamna cha zaidi walichofanya zaidi ya kusitisha sherehe za serikali,mikutano ya kisiasa na shule na vyuo
Nchi hizi zimefikia hatua hata jumuiya za kimataifa zimeanza kutilia mashaka kuhusu data zao kuhusu covid 19
Katika kufanikisha vita hii ndani ya Jumuiya lazima nchi wanachama waende kwa pamoja ili kufanikisha hii vita lakini wenzenu Tanzania na Burundi watasababisha msishinde hii vita
Tanzania na Burundi hawapimi watu wala hawaonyeshi mbinu zaidi ya kuzuia maambukizi nchi nzima,ni hatari kwa nchi hizi maambukizi kwa sasa yapo mpaka vijijini
Ni wakati mwafaka sasa Jumuiya ya Afrika Mashariki mkajitenge na hizi nchi,serikali zao zipo kimaslahi zaidi kuliko maisha ya watu,kule wanawaza uchaguzi ,huku wanawaza mapato
Mmeonyesha wananchi wenu namna mnavyopambana na covid 19 kwa mikakati mbalimbali kama lockdown na kupima watu
Nchi za Tanzania na Burundi hazijaonyesha mikakati muhimu katika kupambana na covid 19,licha ya serikali zao kusema wapo mbele kupambana na covid 19 hamna cha zaidi walichofanya zaidi ya kusitisha sherehe za serikali,mikutano ya kisiasa na shule na vyuo
Nchi hizi zimefikia hatua hata jumuiya za kimataifa zimeanza kutilia mashaka kuhusu data zao kuhusu covid 19
Katika kufanikisha vita hii ndani ya Jumuiya lazima nchi wanachama waende kwa pamoja ili kufanikisha hii vita lakini wenzenu Tanzania na Burundi watasababisha msishinde hii vita
Tanzania na Burundi hawapimi watu wala hawaonyeshi mbinu zaidi ya kuzuia maambukizi nchi nzima,ni hatari kwa nchi hizi maambukizi kwa sasa yapo mpaka vijijini
Ni wakati mwafaka sasa Jumuiya ya Afrika Mashariki mkajitenge na hizi nchi,serikali zao zipo kimaslahi zaidi kuliko maisha ya watu,kule wanawaza uchaguzi ,huku wanawaza mapato