Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 750
Tanzania ni Pillar katika hio unayoita EAC, Halafu unataka mikakati ipi kama Mkuu wa nchi ameshalitambua Janga na kutoa tahadhari ila pia Waziri wa afya ana toa update ya kinachojili, Sasa ivi sehemu ya kushikiria bango ni kuomba Serikalini inunue Testing kits ili tuweze kufanya mass testing ila sio porojo kuwa EAC itu isolate Hiyo hata jumuiya yenyewe haita kuelewa EAC wanatuhitaji zaidi