Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Kama hoja ni bullshit sisi tufanye nini...wewe nae wale wale tuMtu anaweka hoja mezani ijadiliwe mnamjibu yeye ni wa ngono hiyo ni akili au upumbavu?
Unapata wapi mamlaka ya kumwambia mtu kuwa hoja aliyoleta hailingani na yeye? Wewe ndio unamamlaka ya kupanga aongelee hoja gani?
Sent using Jamii Forums mobile app