Jumuiya ya Afrika Mashariki zitenge Tanzania na Burundi

Twambie takwimu wewe kama unazijuwa
Nchi za Kenya, Uganda na Rwanda hongera kwenu,mnaonyesha kwa vitendo juhudi zenu katka kupambana na janga la covid 19

Mmeonyesha wananchi wenu namna mnavyopambana na covid 19 kwa mikakati mbalimbali kama lockdown na kupima watu

Nchi za Tanzania na Burundi hazijaonyesha mikakati muhimu katika kupambana na covid 19,licha ya serikali zao kusema wapo mbele kupambana na covid 19 hamna cha zaidi walichofanya zaidi ya kusitisha sherehe za serikali,mikutano ya kisiasa na shule na vyuo

Nchi hizi zimefikia hatua hata jumuiya za kimataifa zimeanza kutilia mashaka kuhusu data zao kuhusu covid 19

Katika kufanikisha vita hii ndani ya Jumuiya lazima nchi wanachama waende kwa pamoja ili kufanikisha hii vita lakini wenzenu Tanzania na Burundi watasababisha msishinde hii vita

Tanzania na Burundi hawapimi watu wala hawaonyeshi mbinu zaidi ya kuzuia maambukizi nchi nzima,ni hatari kwa nchi hizi maambukizi kwa sasa yapo mpaka vijijini

Ni wakati mwafaka sasa Jumuiya ya Afrika Mashariki mkajitenge na hizi nchi,serikali zao zipo kimaslahi zaidi kuliko maisha ya watu,kule wanawaza uchaguzi ,huku wanawaza mapato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi za Kenya, Uganda na Rwanda hongera kwenu,mnaonyesha kwa vitendo juhudi zenu katka kupambana na janga la covid 19

Mmeonyesha wananchi wenu namna mnavyopambana na covid 19 kwa mikakati mbalimbali kama lockdown na kupima watu

Nchi za Tanzania na Burundi hazijaonyesha mikakati muhimu katika kupambana na covid 19,licha ya serikali zao kusema wapo mbele kupambana na covid 19 hamna cha zaidi walichofanya zaidi ya kusitisha sherehe za serikali,mikutano ya kisiasa na shule na vyuo

Nchi hizi zimefikia hatua hata jumuiya za kimataifa zimeanza kutilia mashaka kuhusu data zao kuhusu covid 19

Katika kufanikisha vita hii ndani ya Jumuiya lazima nchi wanachama waende kwa pamoja ili kufanikisha hii vita lakini wenzenu Tanzania na Burundi watasababisha msishinde hii vita

Tanzania na Burundi hawapimi watu wala hawaonyeshi mbinu zaidi ya kuzuia maambukizi nchi nzima,ni hatari kwa nchi hizi maambukizi kwa sasa yapo mpaka vijijini

Ni wakati mwafaka sasa Jumuiya ya Afrika Mashariki mkajitenge na hizi nchi,serikali zao zipo kimaslahi zaidi kuliko maisha ya watu,kule wanawaza uchaguzi ,huku wanawaza mapato
A boring piece of argument! Every country is unique in many aspects, and their response to emergencies are bound to vary depending on the various factors; demographic differences and financial capability being among them. With COVID - 19 things are not rosy even in US, the super power nation, despite its enormous resources and scientific breakthrough!

Lets adhere to advises by our leaders and local experts for they truly understand our position and predicaments!
 
Back
Top Bottom