antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 45,108
- 121,616
ZenjiFumba ndo wapi?
ZenjiFumba ndo wapi?
Ningekuwa na hela kama yeye ningewapanga sana hawa Chuchu konzi
Kila weekend kama siyo Maldives basi Copa Cabbana.
Kwanza ningeishije Tanzania?
Nisingeweza kulala na mifugo mimi.
Huo huo Mpira wa miguu umeajiri watoto wa mamantilie wanapata riziki kwenye familia zao hakuna mtoto wa tajiri mcheza Mpira kwa hiyo anasaidia jamii kupitia corporate social responsibility.....Ni kweli, wao hutumia fedha zao kufadhili mpira wa miguu tuu, huku watu wakifa vijijini kwa kukosa huduma Bora za afya na wengine wanabaki kwenye lindi la umaskini kwa kukosa elimu bora
Nmecheka sana mzee 🤣🤣🤣Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
Pesa itanunua jeneza ila sio wabeba jenezaBaadhi ya kauli ya ambao hatujapata pesa ..
1.pesa inanunua nyumba ila pesa hainunui usingizi
2.Hata uwe na mali kiasi gani hutazikwa nayo
3.Pesa inanunua chakula ila hainunui hamu ya kula
HAYA TUENDELEZE ZINGINE KWA COMMENT
Ndo hhupat ngoooo... 😆Ningekuwa na hela kama yeye ningewapanga sana hawa Chuchu konzi
Kila weekend kama siyo Maldives basi Copa Cabbana.
Kwanza ningeishije Tanzania?
Nisingeweza kulala na mifugo mimi.
Tukiweka matani pembeni kuna baadhi ya nyumba za matajiri zinalindwa na polisi kabisa achana na kampuni za ulinziUnaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
Tajiri unaoa wake wengi ili ugundue nini.Huyu ana discipline sana.....ingawa Dini yake inamruhusu wake wengi....lakini mpaka leo bado yupo na mke mmoja....hapa kuna kitu cha kujifunza.....
Hapo nilikua nachombeza maana kuna vimaneno watu ambao hawajafanikiwa huwa wanavisema mtaani 😅😅😅😅 kwakweli. Nimesoma juujuu
Namshukuru Mama Samia kwa kufanikisha Extrovert kucheka.. hakika hiki ni kishindo cha awamu ya sita. Viva UVCCMNmecheka sana mzee 🤣🤣🤣
Ni mazoea tu ya mterezo na ganda la ndizi. Wanakaa hapo siku nyingine wanapewaga mikate tu. Sasa mkate si buku jero tu wakati kaja na gari hapo nauli katumia bukuEeehhh afadhal na we unapajua,afu wengi watu hata Awana ulemavu wamejifunika vitambaa na Madera yao hadi aibu
We Pimbi sana 😂Ningekuwa na hela kama yeye ningewapanga sana hawa Chuchu konzi
Kila weekend kama siyo Maldives basi Copa Cabbana.
Kwanza ningeishije Tanzania?
Nisingeweza kulala na mifugo mimi.
Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi