Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,867
- 12,062
Ukifika hapo unichek bhas mrembo mana mm ofisn ni mazingira hayohayoKuna nyingine anayo masakijman watu wanaishi,kituo kinaitwa bakresa hapo masaki ana nyumba nilijua hotel bhana
Ukifika hapo unichek bhas mrembo mana mm ofisn ni mazingira hayohayoKuna nyingine anayo masakijman watu wanaishi,kituo kinaitwa bakresa hapo masaki ana nyumba nilijua hotel bhana
Kiukweli hapo haifiki bil 10La kawaida mbona...bado haujaona langu..😳😳😳
Bora uwe na afya nzuri ulale nje kuliko jumba kubwa ukawa mgonjwa.Baadhi ya kauli ya ambao hatujapata pesa ..
1.pesa inanunua nyumba ila pesa hainunui usingizi
2.Hata uwe na mali kiasi gani hutazikwa nayo
3.Pesa inanunua chakula ila hainunui hamu ya kula
HAYA TUENDELEZE ZINGINE KWA COMMENT
Hahahah nzuri hyoBora uwe na afya nzuri ulale nje kuliko jumba kubwa ukawa mgonjwa.
Dah,umekata tamaa mapema sana ndugu. Tuzitafite hizi pesa.Baadhi ya kauli ya ambao hatujapata pesa ..
1.pesa inanunua nyumba ila pesa hainunui usingizi
2.Hata uwe na mali kiasi gani hutazikwa nayo
3.Pesa inanunua chakula ila hainunui hamu ya kula
HAYA TUENDELEZE ZINGINE KWA COMMENT
Mawazo ya kimasikini hayaHivi mwamba ana wake wangapi
Huyu ana discipline sana.....ingawa Dini yake inamruhusu wake wengi....lakini mpaka leo bado yupo na mke mmoja....hapa kuna kitu cha kujifunza.....Nlivoona mnauliza ana wake wangapi nilijua mnataka awaoe😅😅
Unataka uwe wa ngapiHivi mwamba ana wake wangapi
Ukipatia kuoa wake wengi wa Nini sasaHuyu ana discipline sana.....ingawa Dini yake inamruhusu wake wengi....lakini mpaka leo bado yupo na mke mmoja....hapa kuna kitu cha kujifunza.....
Ningekuwa na hela kama yeye ningewapanga sana hawa Chuchu konziHuyu ana discipline sana.....ingawa Dini yake inamruhusu wake wengi....lakini mpaka leo bado yupo na mke mmoja....hapa kuna kitu cha kujifunza.....
Usitamani utajiri wa mwenzio ujui anayopitia ridhika na dagaa lakoKuna nyingine anayo masakijman watu wanaishi,kituo kinaitwa bakresa hapo masaki ana nyumba nilijua hotel bhana
Anaenda nazo zote Kaburini Akifa?Hii ndo tafsiri sahihi ya kuwa na fedha
Sasa kila mtu akijenga shule na hospitali....si Sawa na na ushirikina tu.Wa hivyo hawajengagi shule Wala hospitali
Kadiri tunavyozeeka na kuwa na hekima zaidi, tunatambua polepole kwamba kuvaa saa ya $300 au $30 zote mbili hutoa wakati mmoja.Tuwe na pochi ya $300 au mkoba au $30, kiasi ndani ni sawa.Tunaendesha gari la $150,000 au gari la $30,000, njia na umbali ni sawa, na tunafika mahali pale pale. Iwe nyumba tunayoishi ni futi za mraba 300 au 3000, upweke ni uleule. Kwa jinsi hiyo utatambua kwamba furaha yako ya kweli ya ndani haitokani na vitu vya kimwili vya ulimwengu huu,bali na Mungu. Na Ardhi tunaokanyaga leo ndio paa letu la kesho.
Chief umeielewa tofauti hyo comment yanguDah,umekata tamaa mapema sana ndugu. Tuzitafite hizi pesa.
1. Ni bora kukosa usingizi ukiwa na pesa kuliko kusinzia katika umaskini
2. Mtu anayezikwa hajitambui, ni sawa hata kama hutozikwa na mali, lakini ulikuwa nazo enzi za uhai wako. Hata kizazi chako utakiacha vizuri.
3. Ni bora kukosa hamu ya kula ukiwa na uhakika wa kula kuliko kutamani kula na huna chakula.
#TUTAFUTE PESA.