Naunga mkono hoja Mkuu, sasa wale wanaopenda kum QUOTE Mwalimu Nyerere, kwanini wasigeze kwa yaliyomtokea Mzee Mwinyi pale gereza la Shinyanga?waziri kuwa na tuhuma inatosha kumtumbua apishe uchunguzi.
Ni kweli mkuu ukiwa na hela zako bora fanya shughuli zako unajiepusha na mambo mengi yanayoweza kukufanya ufe kwa presha.sidhani kama uwaziri sasa ndo kila kitu,tena umekuwa moto maana vichwa ngumu kina lisu ,mnyika wanakusubiri bungeni kukusulubu,huku mitandaoni napo wanakusulubu yaani ni mateso tu,kama una hela yako fanya biashara tafuta hela,mbona kina warren buffet sio mawaziri na wanaishi vizuri.
Ila wabongo nimewakubali kwa kufurahia majanga kwa wenzao
naunga mkono hoja 100%ni dhahiri kua kwa hali ilipofikia kwa ndugu januari makamba aidha atalazimika kujiujiuzuru mwenyewe au kuachishwa kazi ya uwaziri kutokana na sekeseke linaloendelea dhidi yake hivyo nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine je ni nani anafaa kumrithi makamba? mi nampendekeza ally kesy wa nkasi kaskazin yule anafaa sana hasa katika kipindi hiki ambapo masuala ya muungano yanasuasua yeye hua namuona ana uchungu wa dhati na kero za muungano
Mkuuu kuna gazet naona limeandikaWasingejibu yeye na dadake statement ya Mutaliano ingewaponya...
Tatizo kwenye utetezi wao wamekiri kiaina...
Waombe Mungu tu Magu asiwe anasoma mitandao...
Maana magazeti yamekauka
Lumumba b7 at workHakuna hoja hapo mkuu yule muitaliano kaongea vizuri sijaona shida ya makamba ilipo ila aliingizwa tu kwasababu ya dada yake.
Hivi hauoni aibu mtu mzima unavyojiua nguo hadharani?Hakuna hoja hapo mkuu yule muitaliano kaongea vizuri sijaona shida ya makamba ilipo ila aliingizwa tu kwasababu ya dada yake.
aliyemsafisha muhongo ni sefue,je leo sefue yuko wapi? kanywa sana viroba jana mbezi beach kwakemuhongo mmemchafua lakini wapi...serikali haiendeshwi kwa upuuzi wa mitandaoni
Wewe umesom label peke yake! Hebu fungua box ujiridhishe na kilichoko ndani!Hakuna hoja hapo mkuu yule muitaliano kaongea vizuri sijaona shida ya makamba ilipo ila aliingizwa tu kwasababu ya dada yake.