Jumatano natakiwa nikapime UKIMWI, confidence zero

Jumatano natakiwa nikapime UKIMWI, confidence zero

Kichwa Ndio Mtu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
3,079
Reaction score
1,719
Wakuu salama.

Wandugu jumatano,tarehe 05.11.2014 natakiwa niende angaza kupima UKIMWI hapa nilipo confidence ni zero inaelekea negative.

Kwa kawaida mimi huwa najiamini kupita kawaida kwa kila jambo nalofanya lakini hili la UKIMWI, confidence imedrop significantly.

Kiukweli sijawahi kupima UKIMWI toka nimezaliwa, kuna binti kaniambia hawezi kukubali kutoka nami bila kupima, alinipa interval ya miez 3 nikamshawishi hadi akakubali tufanye angalau test 1.

Sitaki kumkosa huyu binti na naogopa kupima, ebu nipeni makonfidensi wakuu
 
Mkuu........nenda kapime........ni bora kujua status yako........kufa kuko palepale........kuwe kwa ngoma au bila.......
ila kupokea majibu nayo inahitaji roho nyingine mpya mekuu........ila we kapime.......halafu dem mjanja huyo............
 
Mkuu........nenda kapime........ni bora kujua status yako........kufa kuko palepale........kuwe kwa ngoma au bila.......
ila kupokea majibu nayo inahitaji roho nyingine mpya mekuu........ila we kapime.......halafu dem mjanja huyo............

unaweza kuta ni process za kumkamata akili tu!!
 
Inaonekana umecheza sana mech bila viatu kapime ila mwambie docta hata majibu yakiwa ovyo akwambie POA.
 
Kwa faida yako kapime ..ila kama ulicheza sana bila viatu tena siku za karibuni lazima uwe na wasi wasi.
 
Asee noma sana ila jipe moyo uko safe sema usikumbuke ulipopita cos itakukatisha tamaa
 
Hongera kwa uamuzi thabiti. iwe ni cilture kucheki afya
 
Labda kama ni kuoa nitapima ila kwa mechi tu, no WAY asee" sihitaji presha mimi bora nimkose tu
 
kapime ujue afya yako.....ni muhimu, pia washauri nasaha watakuelewesha vizuri
 
hadi mpira wa gozi nacheza pekupeku ila kupima no
 
Wanaume bhana mbele ya wavaa sket hatusemi kitu.
Je ! Ungeambiwa na rafki wa kawaida ungeenda?

Hapa naikumbuka ile movie ya kanumba devor of kingdom
 
Daah...na matangazo yote hayo bado watu hatupimi???huo ni moyo wa ziada
 
Mkuu........nenda kapime........ni bora kujua status yako........kufa kuko palepale........kuwe kwa ngoma au bila.......
ila kupokea majibu nayo inahitaji roho nyingine mpya mekuu........ila we kapime.......halafu dem mjanja huyo............

Ungekuwa wewe ungekubali mechi pekupeku.
 
hadi mpira wa gozi nacheza pekupeku ila kupima no

Kapime bana.......sio ngumu.........unafika Angaza.......unakaa kwenye stuli.......anachukua kidude tu kidogo cha karatasi.......anakutoboa kidogo anaweka damu kwenye hicho kikaratasi na kidrop kidogo tu cha kidawa......sijui ni kidawa gani kile......basi damu inaanza kupanda.......inapanda weeeeee........mstari wa kwanza inapita inaenda wa pili.......inagomea pale........
anakwambia upo safi..........ugumu hapo upo wapi........?
 
Back
Top Bottom