Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
- Thread starter
- #101
Amestaafu kwa mujibu wa sheria mkuu
Bunge lilimtenga.
Speaker akamtenga
Raisi akakaa mbali nae.
Ni wazi siku zake kama CAG zilikuwa zimekwisha.
Bunge walikuwa wanatafuta any loophole yakumuondoa lazini,hadi likamwekea Mdhibiti wa kuchunguza ofisi ya CAG,ni wazi walikuwa wanamtafuta kwa udi na uvumba.