2my
JF-Expert Member
- Jan 30, 2010
- 287
- 5
Habari za asubuhi wandugu!!!
Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku njema ya leo, kumbuka ni wengi waliotamani kuiona ila hawakuweza kutokana na sababu mbali mbali...
Je mimi na wewe hatuna budi kukaa na kutafakari huu wema wa Mungu juu yetu?
Nenda kanisani na kwa wale ambao hawataweza kutokana na majukum mbali mbali si mbaya kama watachukua japo sekunde chache kusema asante kwa Mungu...
Mbarikiwe sana na jumapili njema!!!!!!
Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku njema ya leo, kumbuka ni wengi waliotamani kuiona ila hawakuweza kutokana na sababu mbali mbali...
Je mimi na wewe hatuna budi kukaa na kutafakari huu wema wa Mungu juu yetu?
Nenda kanisani na kwa wale ambao hawataweza kutokana na majukum mbali mbali si mbaya kama watachukua japo sekunde chache kusema asante kwa Mungu...
Mbarikiwe sana na jumapili njema!!!!!!