Jumanne Muliro kumrithi IGP Sirro?

Suleiman Mungiya amekuwa CGP akiwa na rank Gani??
alikuwa brig.

na nikukumbushe tu hata anayetoa madaraka hurejea hadhi ya cheo husika kwa muongozo wa jeshi lenyewe.
jeshi la magereza halivushi watumishi askari17k.
jeshi la polisi lina watumishi askari zaidi ya 45k.
 
alikuwa kanal.

na nikukumbushe tu hata anayetoa madaraka hurejea hadhi ya cheo husika kwa muongozo wa jeshi lenyewe.
jeshi la magereza halivushi watumishi askari17k.
jeshi la polisi lina watumishi askari zaidi ya 45k.
Hapana alikuwa Brigedia unajua hivi vyeo vya teuzi atakavyoamka mkuu ukakidhi vigezo utashangazwa tuuuu
 
Mzee Sirro amekaribia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya Jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Muliro atachukua nafasi ya Sirro.

Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Mtu sahihi wa kuwa IGP baada ya Simon N. Sirro ni SACP Camillius Wambura.
 
Siro katokea mbali sana toka akiwa RCO shinyanga miaka 2017 hadi 2018 RPC wake akiwa abdala msika badae akateliwa kuwa RPC tanga na mwanza nafasi hiyo aliopo anastahili
 
Mzee Sirro amekaribia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya Jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Muliro atachukua nafasi ya Sirro.

Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Haya ni majitu ya hovyo kabisa
 
Siro katokea mbali sana toka akiwa RCO shinyanga miaka 2017 hadi 2018 RPC wake akiwa abdala msika badae akateliwa kuwa RPC tanga na mwanza nafasi hiyo aliopo anastahili
Hana unafuu wowote ni mtu wa hovyo sn, Lissu kapigwa risasi kweupe na watu kupoteswa, sioni unafuu wake
 
#BREAKING Rais Samia amemteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe huku nafasi yake ikichukuliwa na Camilius Wambura aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI). #MillardAyoBREAKING
 
Back
Top Bottom