Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Hawa jamaa wanataka kumpa Mh JM Kikwete tuzo la kuinua michezo nnchini, kwangu mimi hii ni kampeni, na TASWA inabidi iwe makini sana na huyu Pinto, kwa nini sasa wakati wa kampeni za uchaguzi ndiyo wanakuja na hili tuzo la kuinua michezo nchini, na katika kumbukumbu zangu hii ni mara ya kwanza kwa tuzo ya namna hiyo, acheni uhuni.