Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,773
- 3,160
Leo kwenye xxl nature ametangaza kuanzisha biashara ya ndala ii inakuja baada ya kutimuliwa na EATV baada ya kuja studio akiwa amelewa uku kavaa ndala...my take juma nature aishukur EATV kwa kumtimua hadi akapata Idea ii..wasanii wa bongo badilikeni nyie ni kioo cha jamii