Mmh bang feg mchanganyie kuber kisha mmix mix kwa maneno ya kihun" ataongea nni huyu nature bungen" au siku hizi na bungen kuna show za bongo fleva hukoo" bungen jaman kugum sana tena sana huy nature na afande sele waendelee tu na mibang yao
Huyo Juma Nkangaa anatamba kwenye fani ipi ya sanaa!
Ccm watampitisha diamond platnumzmsanii nguli wa kizazi juma kasim kiloboto, atangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la temeke.lakn alishindwa kuweka bayana ni chama gan atatumia kutimiza lengo hilo, la kuwaondolea kelo wakaz wa temeke.lakn tetesi zinanyetisha kuwa awali ilikuwa atangaze nia kupitia chama cha kafu,lakn mh,sugu amemshaur, kugombea kupitia cdm jambo ambalo bado analifikiria.
-John KombaMbona wasanii wanakimbia kuimba wanakimbilia nini Bungeni; Hadija Kopa, Sugu, Vicky kamata, Juma Nkangaa, Amina Chifupa ..........endelea
Mbona wasanii wanakimbia kuimba wanakimbilia nini Bungeni; Hadija Kopa, Sugu, Vicky kamata, Juma Nkangaa, Amina Chifupa ..........endelea
Mmh bang feg mchanganyie kuber kisha mmix mix kwa maneno ya kihun" ataongea nni huyu nature bungen" au siku hizi na bungen kuna show za bongo fleva hukoo" bungen jaman kugum sana tena sana huy nature na afande sele waendelee tu na mibang yao
...
.....Kupitia UKAWA atapita bila kupingwa
Kuna ugumu gani kwani kucheza kiduku kama alivyocheza yule mbunge wa C.C.M wakati wa kupitisha ile katiba yao,nani atashindwa?
Ukisema pamba tunamkumbuka mwanetu wa pangani saleh pamba nae ni wale wale tu
Itakuwa UKAWA,Nature ni CUF.
. bora iwe hivyo kuliko kuwa na wezi bungeni,wanaowaza ufisadi tu.Mmh bang feg mchanganyie kuber kisha mmix mix kwa maneno ya kihun" ataongea nni huyu nature bungen" au siku hizi na bungen kuna show za bongo fleva hukoo" bungen jaman kugum sana tena sana huy nature na afande sele waendelee tu na mibang yao