hicho chuo mkuu wa chuo ninani? Leo kinesi atakuwa kaleta waganga wake wa bagamoyo yule mzee noma, sisi tumecheza wa kitabu yan okwi, ngasa, nyonzima wote mbele!!!! Kaseja ndio anafungisha kizembe hiv kweli.
Wachezaji wengi ambao Yanga imesajili hawako katika plan za Mwalimu, wamejazana wenye majina lakini combination ni sifuri, kana kwamba ukiwachukua wachezaji wazuri waliocheza Simba ni ushindi. Ukweli ni kwamba wachezaji ambao mdau amewahesabu kwenye mechi ya leo ni Sita ambao wote ni zao la karibuni toka Msimbazi, sasa format ya jinsi ya kuwatumia imeonyesha hawajui kuwatumia.