Huenda kashtuka baada ya kugundua kwamba kumbe alikuwa bendera fuata upepo. wenye vyama (Maalimu na Mbowe) wamekula yeye anaambulia vumbi tu. wakati mwenzake kapewa chopa. chezea Babu wewe!
Huenda kashtuka baada ya kugundua kwamba kumbe alikuwa bendera fuata upepo. wenye vyama (Maalimu na Mbowe) wamekula yeye anaambulia vumbi tu. wakati mwenzake kapewa chopa. chezea Babu wewe!
Bado hamjakata tamaa na ukawa mkiamini mwisho wake upo tu!
babu duni anaendelea na kampeni kuanzia october mosi huko kisiwani mafia na wilayani rufiji wakati edo akiwa dar mwembeyanga na tanganyika packers! Kama unabisha we endelea kubisha tu!