Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,146
- 48,382
Eneo rahisi la kuvutia watanzania wenye shida zilizosababishwa na CCM , ni kuanzisha Kanisa.
Huko ndiko watu kama "Kiboko ya wachawi" alikotapeli maelfu ya watanzania na kuachwa na CCM "atorokee" kwao Kongo na kuanza kuwananga wateja zake wa zamani kuwa ni wajinga.
Leo nimeiona hii Clip ya Julius Mwita aliyekuwa CHADEMA na kuhamia CHAUMMA kama kwa mbaali akianza kuingia kwenye kuwa "motivational gospel Preacher" kama kina Tony Kapola.
Hebu angalia Kwa Darubini Kali hii clip utaelewa ninachomaanisha.
johnthebaptist sabato si imekwishapita?
😄😀😆
Huko ndiko watu kama "Kiboko ya wachawi" alikotapeli maelfu ya watanzania na kuachwa na CCM "atorokee" kwao Kongo na kuanza kuwananga wateja zake wa zamani kuwa ni wajinga.
Leo nimeiona hii Clip ya Julius Mwita aliyekuwa CHADEMA na kuhamia CHAUMMA kama kwa mbaali akianza kuingia kwenye kuwa "motivational gospel Preacher" kama kina Tony Kapola.
Hebu angalia Kwa Darubini Kali hii clip utaelewa ninachomaanisha.
johnthebaptist sabato si imekwishapita?
😄😀😆