Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,727
Duh; ID's nyingi kwenye huu uzi kwa sasa zimeyeyuka. Nina hakika wanajificha kwa sababu ya aibu. Unafik mtupu.raha sana
Duh; ID's nyingi kwenye huu uzi kwa sasa zimeyeyuka. Nina hakika wanajificha kwa sababu ya aibu. Unafik mtupu.raha sana
Hivi hawa waliokuwa na misimamo hii kwamba EL Hafai bado wanaamini hivi. Au sasa hivi wameshamuondolea hizo dhambi na amekuwa kiumbe kipya?Mwaka huu hamchomoki, siasa zenu nyepesi sana haziwezi kumsumbua Dr wa ukweli
Naamini Lowasa alipoenda kuongea Azam tv hakusema anaenda kumjibu Mtatiro bali alikuwa anamjibu mwedesha kipindi kutokana na maswali aliyomuuliza. Mtatiro ukitaka akujibu mtafute ili mpange siku ukamhoji hayo unayotaka ayajibuUCHAMBUZI JUU YA LOWASSA NA MKUTANO WAKE NA WAHARIRI.
Ndugu zangu, Nilipofanya uchambuzi wa kina juu ya Edward Lowassa nilieleza Udhaifu wake katika maeneo mawili:
- Kwanza nilieleza alivyo karibu na watu wenye majina na taswira zinazotia mashaka (tunawafahamu) na baadhi yao wamewahi kutuhumiwa kuhusika kwenye kashfa kubwa za ufisadi. Nikasisitiza kuwa kama hatatoa maelezo ya kuridhisha juu ya mgongano wa kimaslahi juu yake na wafanyabiashara hao wenye taswira hasi, atapata matatizo.
ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KALIONGELEAJE HILI?
- Pili, nilieleza kwamba hajawahi kuonekana akipambana na rushwa na wala rushwa, wala huwa hapendi kuongea mikakati ya kudhibiti rushwa n.k. Na nilisisitiza kuwa alipokuwa Waziri Mkuu hakuonekana mstari wa mbele kupambana na wala rushwa, nilionesha wasiwasi wangu juu ya uwezo wake wa kuondoa rushwa na wala rushwa wanaoitafuna nchi hii.
ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KALIONGELEAJE HILI?
Tatu, nilitaja mambo matano yanayoweza kumwangusha kwenye mchakato wa uteuzi ndani ya CCM:-
Moja - nilisisitiza juu ya makundi kama sababu ya kwanza ikitokea anaenguliwa.
Pili - nikazungumzia kashfa ya Richmond ambayo mara kadhaa amesikika akisema yeye hakuhusika lakini hakuwahi kuwataja waliohusika.
Tatu - nilizungumzia historia ya CCM kutowahi kumpitisha kiongozi ambaye amewahi kutuhumiwa kimaadili.
Nne - nilizungumzia suala la afya yake.
Tano - nilizungumzia suala la yeye kujitolea sana kifedha kila anakoenda na kualikwa na nikaweka shaka juu ya fedha hizo kama zinatolewa ili kuwasaidia watanzania tu au ni moja ya njia ya kusaka ukuu.
Na mwisho (sita) - niliongelea tetesi zilizopo kuwa yeye na bwana mkubwa hawana mahusiano mazuri hivi sasa.
JE ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KAONGEA LOLOTE KATI YA HAYA?
KwannKazi ya PCCB wakati yeye na rafiki zake hawawezi kuhojiwa achilia mbali kukamatwa?
Lowasa hana maigzo. Tatizo mmezoea mtu anayejifanya anapambana na rushwa kumbe nyuma yake ndye anakula nao meza moja.UCHAMBUZI JUU YA LOWASSA NA MKUTANO WAKE NA WAHARIRI.
Ndugu zangu, Nilipofanya uchambuzi wa kina juu ya Edward Lowassa nilieleza Udhaifu wake katika maeneo mawili:
- Kwanza nilieleza alivyo karibu na watu wenye majina na taswira zinazotia mashaka (tunawafahamu) na baadhi yao wamewahi kutuhumiwa kuhusika kwenye kashfa kubwa za ufisadi. Nikasisitiza kuwa kama hatatoa maelezo ya kuridhisha juu ya mgongano wa kimaslahi juu yake na wafanyabiashara hao wenye taswira hasi, atapata matatizo.
ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KALIONGELEAJE HILI?
- Pili, nilieleza kwamba hajawahi kuonekana akipambana na rushwa na wala rushwa, wala huwa hapendi kuongea mikakati ya kudhibiti rushwa n.k. Na nilisisitiza kuwa alipokuwa Waziri Mkuu hakuonekana mstari wa mbele kupambana na wala rushwa, nilionesha wasiwasi wangu juu ya uwezo wake wa kuondoa rushwa na wala rushwa wanaoitafuna nchi hii.
ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KALIONGELEAJE HILI?
Tatu, nilitaja mambo matano yanayoweza kumwangusha kwenye mchakato wa uteuzi ndani ya CCM:-
Moja - nilisisitiza juu ya makundi kama sababu ya kwanza ikitokea anaenguliwa.
Pili - nikazungumzia kashfa ya Richmond ambayo mara kadhaa amesikika akisema yeye hakuhusika lakini hakuwahi kuwataja waliohusika.
Tatu - nilizungumzia historia ya CCM kutowahi kumpitisha kiongozi ambaye amewahi kutuhumiwa kimaadili.
Nne - nilizungumzia suala la afya yake.
Tano - nilizungumzia suala la yeye kujitolea sana kifedha kila anakoenda na kualikwa na nikaweka shaka juu ya fedha hizo kama zinatolewa ili kuwasaidia watanzania tu au ni moja ya njia ya kusaka ukuu.
Na mwisho (sita) - niliongelea tetesi zilizopo kuwa yeye na bwana mkubwa hawana mahusiano mazuri hivi sasa.
JE ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KAONGEA LOLOTE KATI YA HAYA?
Kijana.,UCHAMBUZI JUU YA LOWASSA NA MKUTANO WAKE NA WAHARIRI.
Ndugu zangu, Nilipofanya uchambuzi wa kina juu ya Edward Lowassa nilieleza Udhaifu wake katika maeneo mawili:
- Kwanza nilieleza alivyo karibu na watu wenye majina na taswira zinazotia mashaka (tunawafahamu) na baadhi yao wamewahi kutuhumiwa kuhusika kwenye kashfa kubwa za ufisadi. Nikasisitiza kuwa kama hatatoa maelezo ya kuridhisha juu ya mgongano wa kimaslahi juu yake na wafanyabiashara hao wenye taswira hasi, atapata matatizo.
ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KALIONGELEAJE HILI?
- Pili, nilieleza kwamba hajawahi kuonekana akipambana na rushwa na wala rushwa, wala huwa hapendi kuongea mikakati ya kudhibiti rushwa n.k. Na nilisisitiza kuwa alipokuwa Waziri Mkuu hakuonekana mstari wa mbele kupambana na wala rushwa, nilionesha wasiwasi wangu juu ya uwezo wake wa kuondoa rushwa na wala rushwa wanaoitafuna nchi hii.
ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KALIONGELEAJE HILI?
Tatu, nilitaja mambo matano yanayoweza kumwangusha kwenye mchakato wa uteuzi ndani ya CCM:-
Moja - nilisisitiza juu ya makundi kama sababu ya kwanza ikitokea anaenguliwa.
Pili - nikazungumzia kashfa ya Richmond ambayo mara kadhaa amesikika akisema yeye hakuhusika lakini hakuwahi kuwataja waliohusika.
Tatu - nilizungumzia historia ya CCM kutowahi kumpitisha kiongozi ambaye amewahi kutuhumiwa kimaadili.
Nne - nilizungumzia suala la afya yake.
Tano - nilizungumzia suala la yeye kujitolea sana kifedha kila anakoenda na kualikwa na nikaweka shaka juu ya fedha hizo kama zinatolewa ili kuwasaidia watanzania tu au ni moja ya njia ya kusaka ukuu.
Na mwisho (sita) - niliongelea tetesi zilizopo kuwa yeye na bwana mkubwa hawana mahusiano mazuri hivi sasa.
JE ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KAONGEA LOLOTE KATI YA HAYA?
Tena ule daraja la kwanza point...7 o-level, point 3 a-levelUNAFIKI
Kweli Kabisa aliwapumbaza hao hao UKAWA. Sisi kwenye akili hatukumpa kura kabisaaaaaaaaa!Mkuu upo sahihi sana kwenye hoja hizo.
Huyu Mh L anataka kutufanya watanzania woote ni mambumbumbu , kila siku yeye anaongea ajira ajira ,Kutwa kucha ni ajiraa ajiraa. Mbona haongelei mashwala ya ufisadi na rushwa? Anashangaza sana. Wa Tz sio wajinga kama anavyofikiri
Uliona wapambe wake? ndege wa rangi moja!
Umepatia kwelikweli...UCHAMBUZI JUU YA LOWASSA NA MKUTANO WAKE NA WAHARIRI.
Ndugu zangu, Nilipofanya uchambuzi wa kina juu ya Edward Lowassa nilieleza Udhaifu wake katika maeneo mawili:
- Kwanza nilieleza alivyo karibu na watu wenye majina na taswira zinazotia mashaka (tunawafahamu) na baadhi yao wamewahi kutuhumiwa kuhusika kwenye kashfa kubwa za ufisadi. Nikasisitiza kuwa kama hatatoa maelezo ya kuridhisha juu ya mgongano wa kimaslahi juu yake na wafanyabiashara hao wenye taswira hasi, atapata matatizo.
ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KALIONGELEAJE HILI?
- Pili, nilieleza kwamba hajawahi kuonekana akipambana na rushwa na wala rushwa, wala huwa hapendi kuongea mikakati ya kudhibiti rushwa n.k. Na nilisisitiza kuwa alipokuwa Waziri Mkuu hakuonekana mstari wa mbele kupambana na wala rushwa, nilionesha wasiwasi wangu juu ya uwezo wake wa kuondoa rushwa na wala rushwa wanaoitafuna nchi hii.
ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KALIONGELEAJE HILI?
Tatu, nilitaja mambo matano yanayoweza kumwangusha kwenye mchakato wa uteuzi ndani ya CCM:-
Moja - nilisisitiza juu ya makundi kama sababu ya kwanza ikitokea anaenguliwa.
Pili - nikazungumzia kashfa ya Richmond ambayo mara kadhaa amesikika akisema yeye hakuhusika lakini hakuwahi kuwataja waliohusika.
Tatu - nilizungumzia historia ya CCM kutowahi kumpitisha kiongozi ambaye amewahi kutuhumiwa kimaadili.
Nne - nilizungumzia suala la afya yake.
Tano - nilizungumzia suala la yeye kujitolea sana kifedha kila anakoenda na kualikwa na nikaweka shaka juu ya fedha hizo kama zinatolewa ili kuwasaidia watanzania tu au ni moja ya njia ya kusaka ukuu.
Na mwisho (sita) - niliongelea tetesi zilizopo kuwa yeye na bwana mkubwa hawana mahusiano mazuri hivi sasa.
JE ALIPOONGEA NA WAANDISHI JANA KAONGEA LOLOTE KATI YA HAYA?