Julius Mtatiro na uchambuzi wake kwa Lowassa

Julius Mtatiro na uchambuzi wake kwa Lowassa

Wafundishe watu mtatiro waweke darasani basi wasipoelewa basi tena sikio la kufa halisikii dawa
 
Warning: usije hapa na kile kibabu kizi cha wake za watu na kitoro kanisani utapata aibu ya mwaka.[/QUOTE]
Lowasa anamiaka 30 eti eh?? Ivi wanazidiana miaka mingapi? Ivi Edo alivyonyon'gomyea anaweza pamabana na Slaa kweli?? Kama hawezi shika kikombe cha chai kwa walau.dakika 3 unamuweka kwenye kundi la watu imara???
 
Warning: usije hapa na kile kibabu kizi cha wake za watu na kitoro kanisani utapata aibu ya mwaka.
Lowasa anamiaka 30 eti eh?? Ivi wanazidiana miaka mingapi? Ivi Edo alivyonyon'gomyea anaweza pamabana na Slaa kweli?? Kama hawezi shika kikombe cha chai kwa walau.dakika 3 unamuweka kwenye kundi la watu imara???[/QUOTE]
babu yako mkono wake mmoja umelaniwa tayari haufanyi kazi, usiongelee kikombe wewe babu mpe sindano tu habebi.
 
Lowasa anamiaka 30 eti eh?? Ivi wanazidiana miaka mingapi? Ivi Edo alivyonyon'gomyea anaweza pamabana na Slaa kweli?? Kama hawezi shika kikombe cha chai kwa walau.dakika 3 unamuweka kwenye kundi la watu imara???
babu yako mkono wake mmoja umelaniwa tayari haufanyi kazi, usiongelee kikombe wewe babu mpe sindano tu habebi.[/QUOTE]

Hao mawakala wa mafisadi wanamlinganisha Dr Slaa (chuma cha pua) na hao wanaofanya mazoezi ya kukimbia wakaita waandishi wa habari?
 
Lowasa anamiaka 30 eti eh?? Ivi wanazidiana miaka mingapi? Ivi Edo alivyonyon'gomyea anaweza pamabana na Slaa kweli?? Kama hawezi shika kikombe cha chai kwa walau.dakika 3 unamuweka kwenye kundi la watu imara???
babu yako mkono wake mmoja umelaniwa tayari haufanyi kazi, usiongelee kikombe wewe babu mpe sindano tu habebi.[/QUOTE]


hilo la kimada unalisemeaje? isitoshe Mshumbusi kwa umri wake anahitaji huduma babu kamuweka kama picha, unataka watu waruke ukuta ili wapige mzigo ufalmeni? Urais sio ukatibu wa saccos uwe na adabu kijana.
 
umezidi kupgiria misumari ya moto mbunge wa Segerea Mtatiro
 
babu yako mkono wake mmoja umelaniwa tayari haufanyi kazi, usiongelee kikombe wewe babu mpe sindano tu habebi.
hilo la kimada unalisemeaje? isitoshe Mshumbusi kwa umri wake anahitaji huduma babu kamuweka kama picha, unataka watu waruke ukuta ili wapige mzigo ufalmeni? Urais sio ukatibu wa saccos uwe na adabu kijana.[/QUOTE]

Mwaka huu hamchomoki, siasa zenu nyepesi sana haziwezi kumsumbua Dr wa ukweli
 
hilo la kimada unalisemeaje? isitoshe Mshumbusi kwa umri wake anahitaji huduma babu kamuweka kama picha, unataka watu waruke ukuta ili wapige mzigo ufalmeni? Urais sio ukatibu wa saccos uwe na adabu kijana.

Mwaka huu hamchomoki, siasa zenu nyepesi sana haziwezi kumsumbua Dr wa ukweli[/QUOTE]

Waache wadhani ukishampitisha mwanaccm amekuwa rais kiasi cha kutuletea fisadi. Tukutane October hapa!
 
hilo la kimada unalisemeaje? isitoshe Mshumbusi kwa umri wake anahitaji huduma babu kamuweka kama picha, unataka watu waruke ukuta ili wapige mzigo ufalmeni? Urais sio ukatibu wa saccos uwe na adabu kijana.

Mwaka huu hamchomoki, siasa zenu nyepesi sana haziwezi kumsumbua Dr wa ukweli[/QUOTE]
kwani suala la mama kuwa na uhitaji nalo ni siasa nyepesi? this is critical issue.
 
Mwaka huu hamchomoki, siasa zenu nyepesi sana haziwezi kumsumbua Dr wa ukweli
kwani suala la mama kuwa na uhitaji nalo ni siasa nyepesi? this is critical issue.[/QUOTE]

Mnafikiri watanzania wa leo wanasikiliza hizo ngonjera zenu?
 
sio matusi hoja hapa ni nyie vichwa maji, hapa sote tunajua kwamba nchi hii ina ombwe la uongozi kwa sasa, so tunajikuta kwenye kundi la vipofu tunamtafuta chonge na hapo ndo EL anapasua anga, unabisha leta mgombea wako tumlinganishe na EL ndo utajua nachomanisha. Warning: usije hapa na kile kibabu kizi cha wake za watu na kitoro kanisani utapata aibu ya mwaka.


Shika ukuta fisadi lowasa na ukoo wake wanakuja!
 
Hayo ni maneno 2 hata kwenye kanga yapo.
 
Back
Top Bottom