Julius Mtatiro, John Heche na Nape Nnauye

Julius Mtatiro, John Heche na Nape Nnauye

Sir R

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
2,175
Reaction score
300
Miongoni mwa hawa vijana, nani mwenye uwezo wa kujenga hoja bila kuzingatia vyama wanavyotoka.
 
Ni John Heche Suguta pekee, anafuatia Mtatiro na Nape hayupo kabisa kwenye orodha
 
Ingependeza zaidi kama ungewapambanisha kwa majukumu na nafasi zao ndani ya vyama vyao yaani JOHN HECHE (BAVICHA) Vs BENO MALISA (UVCCM) Vs sijui CUF nani. Hata hivyo kwa mujibu wa swali lako mie nampa kura yangu Mh. Diwani.
 
Unalinganisha mabaunsa wa bills na security and intelligency advisor wa Obama.
 
Ingependeza zaidi kama ungewapambanisha kwa majukumu na nafasi zao ndani ya vyama vyao yaani JOHN HECHE (BAVICHA) Vs BENO MALISA (UVCCM) Vs sijui CUF nani. Hata hivyo kwa mujibu wa swali lako mie nampa kura yangu Mh. Diwani.
Ahsante kwa ushauri mzuri,
Huyo diwani ni nani? Heche si hakugombea nafasi hiyo mwaka jana?
 
Jf haiish vituko? Nape anatafuta nini kwenye hyo orodha? Kwani koti la Mpendazoe ameshalivua?
 
John Heche ana msimamo thabiti na husimama kwenye ukweli. Mtatiro hapana nadhani mwenye papara sn, Nape mropokaji na msaliti rejea ccj.
 
John Heche Suguta-JHS ndie JABARI lenyewe hilo! Hao wengine toa, Viazi sana!
 
Ahsante kwa ushauri mzuri,
Huyo diwani ni nani? Heche si hakugombea nafasi hiyo mwaka jana?

Ya kugombea au kutogombea mwaka jana siyajui. Ila ndiye aliyerithi kiti cha Udiwani Tarime Mjini baada ya kifo cha Mh. Chacha Wangwe. Natumaini, kama ilivyo kwa urais, uprofesa, ujenerali, n.k. cheo cha Diwani kipo pale pale hata baada ya Mh. kustaafu.
 
Mtatiro tatizo lake nini, kuwa ndani ya CUF au......
 
Ya kugombea au kutogombea mwaka jana siyajui. Ila ndiye aliyerithi kiti cha Udiwani Tarime Mjini baada ya kifo cha Mh. Chacha Wangwe. Natumaini, kama ilivyo kwa urais, uprofesa, ujenerali, n.k. cheo cha Diwani kipo pale pale hata baada ya Mh. kustaafu.

Mkuu naona Heche unamkubali sana, mimi namfahamu through Star TV
 
ah ah aah haya sasa mtatiro na heche wote si wakurya hawa?
 
Usiwe na tabia ya kuongea jambo usilolijuwa, unadhani wanaotoka mkoa wa mara wote ni wakurya?

mkuu angalia mwisho wa sentensi yangu kuna alama gani ndipo unituhumu uenda nawe umekulupuka ,kuwa makini
 
Back
Top Bottom