HADJ DROGBA
Member
- Dec 16, 2009
- 67
- 9
mzee mwanakijiji nawewe huko shambani hufiki?!kila siku na jembe lako begani unapiga porojo wenzakeo wanahenyeka na "kilimo cha kufa na kupona".Ok tuyaache hayo maana kilimo kwanza hata mtoto wa mkulima kimemshinda kabaki na porojo tu.Ni hivi watu hawaguswi na bwana Malema kutokana na umri wake bali misimamo yake na kutoogopa kumwambia ukweli mtu yeyote hata yule anaekunywa nae kahawa,akizingua anamgonga tu...wanaojua uhusiano wa zuma na malema wanaelewa nasema nini hapa.