Wanawake wenyewe ndio wameingia mkenge bila kujua 😔 kila kitu ambacho kinazungumzwa na viongozi kwa mgongo wa haki za wanawake basi wao wanapiga makofi na kuunga mkonoHuo ni udhalilishaji wa wanawake na hayo yanatokana na ukosefu wa ajira wasikwepe hiyo changamoto wafanye utafiti wa kuwaajili wasiokuwa na Elimu maana nao ni wananchi na wanamahitaji yakifamiliya
Mbona kwenye kilimo imewezekana kutumia mabaki ya mazao kuzalisha Umeme, Mbolea n.k, inashindikana vipi kwa Binaadam aliyebaki kwenye mchujo wa kukosa Elimu namaanisha kwenye changamoto kuna Mafanikio makubwa yaliyojificha🙏🏽🙏🏽🙏🏽.
Hata kama haufurahii utafanyaje?? Utataka akafungwe jela??Je utafurahi kuona watoto,mke/mume wako wakifanya kazi hiyo?
Hilo jambo limekuja kati ya vitu viwili ukosefu wa Elimu ya Dini au Sekula na ajila na hizo ndiyo changamoto za kifamilia na Taifa kwa ujumla.
Utamzuiaje mke wako asiwe kahaba akiamua kuwa kahaba?Tatizo sio kukubali kwamba watu wasilindwe na sheria ila Ukahaba serious!? Yaani wao wanadai kwamba hata mke wako akitaka kuwa kahaba auxe utelezi wewe kama mume wake hauna ruhusa ya kuzuia asiwe kahaba! Kwamba iwe ni haki yake! SA imekuwa nchi ya ajabu sana, kwamba katika vitu vyote vya kuzungumzia na kufanyia kazi basi uuzaji na ununuzi wa utelezi imekuwa haki za binadamu
MFALME ambaye ni MWENYEZI MUNGU wa majeshi kwanjia ya KRISTO YESUMfalme nani? na unatumika vipi?
Hao wadada hapo juu hiyo miguu tu inatisha hizo sehemu za Siri sijui zitakuwa katika Hali Gani?Kiongozi wa EFF Julius Malema ameitaka serikali kuharamisha ukahaba. Akizungumza na wafuasi wa chama katika maandamano ya Siku ya Wanawake huko Mpumalanga, Malema alisema wafanyabiashara ya ngono wanastahili kupata ulinzi na vyombo vya sheria, ikiwa ni pamoja na kuwa na uwezo wa kufungua kesi dhidi ya wabakaji au aina nyingine za unyanyasaji bila kudharauliwa na polisi.
View attachment 3443468
"Serikali lazima ihalalishe ukahaba. Ukahaba ni taaluma kongwe zaidi duniani. Unaweza kuwa Mkristo ama dini nyingine; upende usipende, ukahaba ni kazi na kuna watu wanaofanya kazi humo. Jamii inajengwa na makahaba ndani yake na lazma tukubali kuwaunga mkono."
View attachment 3443469
"Waheshimuni watu hawa na familia zao, wao pia lazima wawe na ulinzi na haki kama wafanyakazi wengine, mwili wake ni haki yake na anapaswa kulindwa dhidi ya unyanyasaji, anaweza kuwa na mume na watoto, kazi yake ndio inampatia kipato na maisha" alisema.
View attachment 3443467
Kumekuwa na mjadala unaoendelea kuhusu kuhalalisha ukahaba ili kuimarisha afya na usalama kwa wafanyabiashara ya ngono na kulinda haki zao. Mnamo 2022, baraza la mawaziri liliidhinisha kuchapishwa Mswada wa Marekebisho wa Sheria ya Jinai (Makosa ya Kujamiiana na Mambo Yanayohusiana) kuhusu kuharamisha kazi ya ngono kwa maoni ya umma.
View attachment 3443470
Malema alisema wanawake wote wanapaswa kulindwa dhidi ya kuwa wahanga wa unyanyasaji. Hivyo biashara hii iwe sehemu ya watu kujipatia kipato.
JE HOME BOY AMEZINGUA AU YUPO SAHIHI KATIKA HILI SUALA?
Yaani Mke wako wa ndoa wanadai umpatie nafasi yake ya kufanya ukahaba pasipo kuingilia uhuru wakeLugha ya mwanasiasa mbele ya mwananchi ni kumfanya ajisikie anaonewa na kunyimwa haki zake hata katika mambo ya hovyo.
Na ikifika anaongea na wanawake anacheza na hisia zao zaidi kuliko uhalisia. Utasikia haki za kutoa mimba, talaka, na ukahaba kama Malema anavyosema.
Kipochi Kila mwanamke anacho ila sio Kila mwenye kipochi anavutia.Kwani unaromba miguu ama kipochi!?
Mkuu unatongozaje gizani? Utakuja kutongoza jini au lishoga.Kama kuna giza je au aamevaa juba?
Ndio, mimi mweupe...ni Mhabeshi na tuna Uarabu pia kwa mama, lakini shangazi yangu ameolewa na Msukuma...ni Mweusi huyo acha tuWewe ni mweupe?
Ndio unasema weusi ni wabaya?kisa wewe ndi mwarabu nani kakudanganya kuwa nyie ni wazuri?Ndio, mimi mweupe...ni Mkihabeshi na tuna Uarabu pia, lakini shangazi yangu ameolewa na Msukuma...ni Mweusi huyo acha tu