Julius Malema anataka ukahaba uhalalishwe

Julius Malema anataka ukahaba uhalalishwe

Tatizo sio kukubali kwamba watu wasilindwe na sheria ila Ukahaba serious!? Yaani wao wanadai kwamba hata mke wako akitaka kuwa kahaba auxe utelezi wewe kama mume wake hauna ruhusa ya kuzuia asiwe kahaba! Kwamba iwe ni haki yake! SA imekuwa nchi ya ajabu sana, kwamba katika vitu vyote vya kuzungumzia na kufanyia kazi basi uuzaji na ununuzi wa utelezi imekuwa haki za binadamu
 
Huo ni udhalilishaji wa wanawake na hayo yanatokana na ukosefu wa ajira wasikwepe hiyo changamoto wafanye utafiti wa kuwaajili wasiokuwa na Elimu maana nao ni wananchi na wanamahitaji yakifamiliya

Mbona kwenye kilimo imewezekana kutumia mabaki ya mazao kuzalisha Umeme, Mbolea n.k, inashindikana vipi kwa Binaadam aliyebaki kwenye mchujo wa kukosa Elimu namaanisha kwenye changamoto kuna Mafanikio makubwa yaliyojificha🙏🏽🙏🏽🙏🏽.
Wanawake wenyewe ndio wameingia mkenge bila kujua 😔 kila kitu ambacho kinazungumzwa na viongozi kwa mgongo wa haki za wanawake basi wao wanapiga makofi na kuunga mkono
 
Je utafurahi kuona watoto,mke/mume wako wakifanya kazi hiyo?
Hilo jambo limekuja kati ya vitu viwili ukosefu wa Elimu ya Dini au Sekula na ajila na hizo ndiyo changamoto za kifamilia na Taifa kwa ujumla.
Hata kama haufurahii utafanyaje?? Utataka akafungwe jela??
Mbona kuna watu wengi hawali na hawapendi kitimoto au kunywa pombe ila watoto wao wanakula kitimoto na kunywa pombe
 
Tatizo sio kukubali kwamba watu wasilindwe na sheria ila Ukahaba serious!? Yaani wao wanadai kwamba hata mke wako akitaka kuwa kahaba auxe utelezi wewe kama mume wake hauna ruhusa ya kuzuia asiwe kahaba! Kwamba iwe ni haki yake! SA imekuwa nchi ya ajabu sana, kwamba katika vitu vyote vya kuzungumzia na kufanyia kazi basi uuzaji na ununuzi wa utelezi imekuwa haki za binadamu
Utamzuiaje mke wako asiwe kahaba akiamua kuwa kahaba?
 
SA iko tofauti na nchi nyingine za kiafrika, Malema lugha yake ni kuhalalisha kila jambo ambalo linafanana na umagharibi. Msimamo wake kwenye ishu za ushoga ni kama hizi kuhusu ukahaba.
 
Lugha ya mwanasiasa mbele ya mwananchi ni kumfanya ajisikie anaonewa na kunyimwa haki zake hata katika mambo ya hovyo.

Na ikifika anaongea na wanawake anacheza na hisia zao zaidi kuliko uhalisia. Utasikia haki za kutoa mimba, talaka, na ukahaba kama Malema anavyosema.
 
Kiongozi wa EFF Julius Malema ameitaka serikali kuharamisha ukahaba. Akizungumza na wafuasi wa chama katika maandamano ya Siku ya Wanawake huko Mpumalanga, Malema alisema wafanyabiashara ya ngono wanastahili kupata ulinzi na vyombo vya sheria, ikiwa ni pamoja na kuwa na uwezo wa kufungua kesi dhidi ya wabakaji au aina nyingine za unyanyasaji bila kudharauliwa na polisi.
View attachment 3443468
"Serikali lazima ihalalishe ukahaba. Ukahaba ni taaluma kongwe zaidi duniani. Unaweza kuwa Mkristo ama dini nyingine; upende usipende, ukahaba ni kazi na kuna watu wanaofanya kazi humo. Jamii inajengwa na makahaba ndani yake na lazma tukubali kuwaunga mkono."
View attachment 3443469
"Waheshimuni watu hawa na familia zao, wao pia lazima wawe na ulinzi na haki kama wafanyakazi wengine, mwili wake ni haki yake na anapaswa kulindwa dhidi ya unyanyasaji, anaweza kuwa na mume na watoto, kazi yake ndio inampatia kipato na maisha" alisema.
View attachment 3443467
Kumekuwa na mjadala unaoendelea kuhusu kuhalalisha ukahaba ili kuimarisha afya na usalama kwa wafanyabiashara ya ngono na kulinda haki zao. Mnamo 2022, baraza la mawaziri liliidhinisha kuchapishwa Mswada wa Marekebisho wa Sheria ya Jinai (Makosa ya Kujamiiana na Mambo Yanayohusiana) kuhusu kuharamisha kazi ya ngono kwa maoni ya umma.
View attachment 3443470
Malema alisema wanawake wote wanapaswa kulindwa dhidi ya kuwa wahanga wa unyanyasaji. Hivyo biashara hii iwe sehemu ya watu kujipatia kipato.

JE HOME BOY AMEZINGUA AU YUPO SAHIHI KATIKA HILI SUALA?
Hao wadada hapo juu hiyo miguu tu inatisha hizo sehemu za Siri sijui zitakuwa katika Hali Gani?
 
Utamzuiaje mke wako asiwe kahaba akiamua kuwa kahaba?
Sasa anataka iwe kisheria! Ukimuona mke wako anakazwa na msela unatakiwa kuheshimu maana ni personal space ya mke wako!
 
Lugha ya mwanasiasa mbele ya mwananchi ni kumfanya ajisikie anaonewa na kunyimwa haki zake hata katika mambo ya hovyo.

Na ikifika anaongea na wanawake anacheza na hisia zao zaidi kuliko uhalisia. Utasikia haki za kutoa mimba, talaka, na ukahaba kama Malema anavyosema.
Yaani Mke wako wa ndoa wanadai umpatie nafasi yake ya kufanya ukahaba pasipo kuingilia uhuru wake
 
Kipochi Kila mwanamke anacho ila sio Kila mwenye kipochi anavutia.

Kwahiyo ww kinachokuvutia Kwa Mwanamke kabla hujamtongoza ni kipochi chake?
Kama kuna giza je au aamevaa juba?
 
Ndio, mimi mweupe...ni Mkihabeshi na tuna Uarabu pia, lakini shangazi yangu ameolewa na Msukuma...ni Mweusi huyo acha tu
Ndio unasema weusi ni wabaya?kisa wewe ndi mwarabu nani kakudanganya kuwa nyie ni wazuri?
 
Back
Top Bottom