Julius Malema anataka ukahaba uhalalishwe

Lakini watu weusi ni wabayaaa , wachafuu hata hawavutii, halafu wakijiuza ndio wanakuwa wabaya zaidi halafu wana mabakamabaka kama nyoka
Sio wote wana mabaka ila mabaka ni ngozi tu kupoteza nuru ila wakijipiga creams za kuipa ngozi nuru na kutakatisha ngozi ndani ya mwezi mmoja ukikutana nae sio yule uliemuona mwanzo

Dr. Ambivert88
-Kwa sasa Russia
 
Sema South wamezidi
SA ni nchi yenye uchumi mkubwa na miji mikubwa hivyo ni rahisi sana hiyo biashara kuonekana ni kubwa , wapo watu wa mataifa mbalimbali pale wanauza utamu.
 
Hizi haki za kisasa zinakoelekea watadai wanaume nao wabebe Ujauzito, na wanyama wasiliwe kwa sababu hatuangalii Muumbaji kasema nini Tumepewa akili kwaajili ya Kuchunga mipaka ya Mungu.

Huko kwao kuna ruhusa ya Mwanamke kuolewa na zaidi ya Mwanaume mmoja hivi ujauzito utakaopatikana hapo ni wanani, mbona ☀️ halijawahi kwenda kinyume, kwasababu sisi tumepewa uchaguzi ndiyo tukufuru embu turudini kwa Mungu jamani .
 
Huo ni udhalilishaji wa wanawake na hayo yanatokana na ukosefu wa ajira wasikwepe hiyo changamoto wafanye utafiti wa kuwaajili wasiokuwa na Elimu maana nao ni wananchi na wanamahitaji yakifamiliya

Mbona kwenye kilimo imewezekana kutumia mabaki ya mazao kuzalisha Umeme, Mbolea n.k, inashindikana vipi kwa Binaadam aliyebaki kwenye mchujo wa kukosa Elimu namaanisha kwenye changamoto kuna Mafanikio makubwa yaliyojificha🙏🏽🙏🏽🙏🏽.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…