Kocha Julio akiwa katika harakati za kugombea nafasi ktk chama Simba,amepotelewa na cheti chake cha form four.Hii inampa wakati mgumu mgombea huyu kutokana na vigezo vya kugombea ktk club hiyo.MY TAKE:NO COMMENT
Siku zote hizo alikuwa wapi kutoa taarifa sehemu husika kama cheti chake kimepotea amesubili wakati wa kuhakikiwa na kamati ya Uchaguzi ndo aseme cheti kimepotea ha!ha!nawasiwasi na Elimu kama si ya kuhunga unga ni bahati sana.
Siku zote hizo alikuwa wapi kutoa taarifa sehemu husika kama cheti chake kimepotea amesubili wakati wa kuhakikiwa na kamati ya Uchaguzi ndo aseme cheti kimepotea ha!ha!nawasiwasi na Elimu kama si ya kuhunga unga ni bahati sana.
Vyeti vya nini kwenye uongozi wa hizi klabu za uswahilini ambazo hazihitaji weledi kuongoza. Acheni Julio ajipatie ulaji roho mbaya za nini kuwekeana masharti magumu!
Napokea ushauli wako najijua na matatizo hayo tena hasa ya L Na R huku Moscow jimbo la Zelenorgrad kupata vitabu au walimu wa Kiswahili shida ila nafikili nimepata pa kuanzia na ku PM mda si mrefu mkuu.Usisite kunishahihisha pale unapoona nimekosea ndo kunifundisha uko ubalikiwe sana.
Kocha Julio akiwa katika harakati za kugombea nafasi ktk chama Simba,amepotelewa na cheti chake cha form four.Hii inampa wakati mgumu mgombea huyu kutokana na vigezo vya kugombea ktk club hiyo.MY TAKE:NO COMMENT
I had the same question in my mind...yule jamaa anavyobwabwaja alisoma kweli? Alisomea shule gani tena? Au Simba B nayo ni shule ya sekondari kama ipo anyway!!!