JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,327
- 5,510
Kocha Jamhuri Kihwelo Julio amedai kuwa kikosi cha Simba cha sasa kina wachezaji watano tu ambao wanaweza kuisaidia timu ndiyo maana hakuna matokeo mazuri.
“Wachezaji wa sasa ambao wanaweza kuisaidia Simba hawazidi watano tu, jiulize ile Vipers iliyocheza na Simba kuna timu pale? Wale wangecheza na Simba ile ambayo ipo sawa wangekula tano,” anasema Julio.
Kuhusu Wazawa katika idadi hiyo ya watano wapo wawili na wageni ni watatu.
Chanzo: Wasafi FM
“Wachezaji wa sasa ambao wanaweza kuisaidia Simba hawazidi watano tu, jiulize ile Vipers iliyocheza na Simba kuna timu pale? Wale wangecheza na Simba ile ambayo ipo sawa wangekula tano,” anasema Julio.
Kuhusu Wazawa katika idadi hiyo ya watano wapo wawili na wageni ni watatu.
Chanzo: Wasafi FM