Julie Speech On Sharia Law, Ukweli Unaouma

Julie Speech On Sharia Law, Ukweli Unaouma

Kumbe ni former prime minister!
Anawatia majaribuni wenzake walio madarakani.
Tofauti iko wazi: uchague kukufuru au kushukuru.
Anasema mungu wao ni Yesu, tena picha zake zipo kila mahali ! Ukafiri ni upofu.


Kazi ya kuhukumu ni ya Mola. Amewashauri muhame, sio Mumtukane. Mkatukane kwenu.
 
Kuna haja hata hapq kwetu itungwe sheria ya watu waabudu ndani ya nyumba zao za ibada kimya kimya pasipo kubughudhi wengine kwa kuweka spika za sauti nje ya nyumba zao za ibada....

Makanisa km Lutheran, RC, Sabath, Anglican ni wastaarabu sana, huwezi kusikia sauti za ibadq zao zonatoka nje...ila wenzetu walokole na waislam ni shida kuuubwa???
 
Australian PM Julia Gillard should be made Queen of the world. What she has said requires a lot of courage and confidence.
All the countries in the world should have leaders like her.

She says "Muslims, who are demanding Sharia law have been asked to leave Australia by wednesday because Australia sees fanatic muslims as terrorists. Each and every mosque will be searched and muslims will cooperate with us in this process.

All the muslims who have migrated from other countries to Australia will have to adapt and change themselves as per our country and not expect us to change as per them.
If they are unable to do so, they are most welcome to leave Australia.

A lot of Australian are worried that we may be insulting a particular religion....but I assure the people of Australia that whatever is being done is for the betterment of Australia and its people.

We speak English here and not Arabic or urdu or any othe islamic language so if you want to stay in our country you better learn to speak English.

In Australia we believe in Jesus who is our God and we believe in God. Just because we believe in and follow Christianity and no other religion, does not make us Communal which is why you will find God's Pictures and religious books everywhere.

If you have any objection to this, you are free to leave Australia and go anywhere else in the world.

Australia is our land, our country and this is our culture.

We do not follow your religion but we respect your sentiments which is why if you want to read koran and offer namaz, please do not create noise pollution by using speakers and reading out loudly. Please DO NOT Read Koran or offer prayers in our schools, offices or public places.

You can do so in the quiet of your home or in a mosque which will not inconvenience us.

If you have any issues with our national flag or national anthem or our religion or our lifestyle, kindly leave Australia at this very moment and never ever return back".

Former Australian Prime Minister Julia Gillard

kaitwa malikia wa dunia kwa kuwa kaminya uislam na kuupa nguv ukristo naona juhudi za kuutokemeza uislam wengine wanadirik hadi kugawa nchi ili waislam waishi huko ukristo ni ruksa kutamba dunia yote sasa nimepata jibu kwa nn mnalipuliwa kwa maelezo hayo wajitoa mihanga hawatoisha.
 
Teh teh teh!
Nyie watu mnajua kulishana 'matango pori'!!Hivi huko msikitini huwa mnaenda kufundishana uongo??
Hivi kwa nchi kama Australia ambayo 65% ni wakristo na 2.2℅ ni waislamu mtawezaje kumfanya mgombea yoyote anayeungwa na wakristo asipite???
Population hiyo haizidi hata ya waabudu ngombe,budha ambayo ni 2.5℅!!!Mmejitahidi muoe hadi wake sita ili muweze kukaribia angalau population ya mabudha,janja ambayo mliifanya nchi nyingi za afrika lakini mmeshindwa!!!

Njia iliyobaki ni kujifariji kama mnavyojifariji hapa!!

By the way,hivi na Alshaabab ni waislamu au!!!?Maana kwenu nyie it's all about size!!!

Teh teh teh

Kitu unachoshindwa kuelewa ni kuwa hao waliowengi ndiyo walimyima huyo uwaziri mkuu, jiulize kwanini ikiwa alikuwa anawafurahisha kwa maneno yake hayo? Ukipata jibu fanya siri yako, badala ya kukurupuka kwa kiherehere chako.

Jana kuna habari huko Afrika Kusini, Waafrika wanaokwenda huko kujitafutia maisha wananyanyaswa na kufukuzwa na wanapigwa na wenyeji mpaka wanakimbilia kuishi polisi, jee na hao nao ni Waislam wanaowafanyia na kufanyiwa hivyo?

Chuki zenu kwa Uislam ni pale mnapoona, ndugu jamaa na marafiki zenu wakitoka kwenye ukafiri na kurudi kwenye njia iliyonyooka na kujisalimisha kwa Mungu wao, mmoja ambae hajazaa wala kuzaliwa. Hapo ndipo mnapopachukia.

Nakushauri usome Uislam utauelewa tu, hivi utamjua adui yako kama hujamsoma? lakini msome yeye kwa mafundisho yake si umsome kupitia kwa wasioujuwa Uislam kama wewe, utakuwa hujitendei haki. Ni ushauri wa bure.
 
Teh teh teh!
Nyie watu mnajua kulishana 'matango pori'!!Hivi huko msikitini huwa mnaenda kufundishana uongo??
Hivi kwa nchi kama Australia ambayo 65% ni wakristo na 2.2℅ ni waislamu mtawezaje kumfanya mgombea yoyote anayeungwa na wakristo asipite???
Population hiyo haizidi hata ya waabudu ngombe,budha ambayo ni 2.5℅!!!Mmejitahidi muoe hadi wake sita ili muweze kukaribia angalau population ya mabudha,janja ambayo mliifanya nchi nyingi za afrika lakini mmeshindwa!!!

Njia iliyobaki ni kujifariji kama mnavyojifariji hapa!!

By the way,hivi na Alshaabab ni waislamu au!!!?Maana kwenu nyie it's all about size!!!

Teh teh teh

Kitu unachoshindwa kuelewa ni kuwa hao waliowengi ndiyo walimyima huyo uwaziri mkuu, jiulize kwanini ikiwa alikuwa anawafurahisha kwa maneno yake hayo? Ukipata jibu fanya siri yako, badala ya kukurupuka kwa kiherehere chako.

Jana kuna habari huko Afrika Kusini, Waafrika wanaokwenda huko kujitafutia maisha wananyanyaswa na kufukuzwa na wanapigwa na wenyeji mpaka wanakimbilia kuishi polisi, jee na hao nao ni Waislam wanaowafanyia na kufanyiwa hivyo?

Chuki zenu kwa Uislam ni pale mnapoona, ndugu jamaa na marafiki zenu wakitoka kwenye ukafiri na kurudi kwenye njia iliyonyooka na kujisalimisha kwa Mungu wao, mmoja ambae hajazaa wala kuzaliwa. Hapo ndipo mnapopachukia.

Nakushauri usome Uislam utauelewa tu, hivi utamjua adui yako kama hujamsoma? lakini msome yeye kwa mafundisho yake si umsome kupitia kwa wasioujuwa Uislam kama wewe, utakuwa hujitendei haki. Ni ushauri wa bure.
kajirita, umempata Ukht FaizaFoxy !? ...............nimekukazia wino ili yakuingia sawa sawa !
Kumbe Wakiristo ndo wamemnyima huyo Mama Uwaziri Mkuu ! :yo:
 
Last edited by a moderator:
kaitwa malikia wa dunia kwa kuwa kaminya uislam na kuupa nguv ukristo naona juhudi za kuutokemeza uislam wengine wanadirik hadi kugawa nchi ili waislam waishi huko ukristo ni ruksa kutamba dunia yote sasa nimepata jibu kwa nn mnalipuliwa kwa maelezo hayo wajitoa mihanga hawatoisha.
radika, naona umekuja kung'ata watu humu ! :yo:
 
Last edited by a moderator:
Hawa wakimbizi sijui kwann wanapenda kukimbilia nchi za makafir!
Ifike wakati waende Iraq, Saudi Arabia, Afghanistan, Iran, Syria na Somalia!
Hawatabaguliwa na wenzao na mazingira wanayotaka kuabudia yapo! Sharia Laws ndizo zinazotumika!

Umesema vema ndugu ifike mahali wakimbilie sharia law countries na their holly land where allah resides. add Pakstan, bangladesh indonesia, yemen, turkey na misri.
 
Wagalatia mngeusoma uislam kama sisi tunavyouelewa ukristo mngejua mmepungukiwa kitu ndio maana wimbi kubwa la wazungu wanasilimu baada ya kuona kasoro ya dini zao
 
Kuna haja hata hapq kwetu itungwe sheria ya watu waabudu ndani ya nyumba zao za ibada kimya kimya pasipo kubughudhi wengine kwa kuweka spika za sauti nje ya nyumba zao za ibada....

Makanisa km Lutheran, RC, Sabath, Anglican ni wastaarabu sana, huwezi kusikia sauti za ibadq zao zonatoka nje...ila wenzetu walokole na waislam ni shida kuuubwa???

hasa waislamu ni kero mtaani,, bora msali kimya kimya, hizo speaker zenyew vi hon speaker vinakwaruza, lugha yenyewe haieleweki sijui huwa mnamhubiria nan?
 
Kitu unachoshindwa kuelewa ni kuwa hao waliowengi ndiyo walimyima huyo uwaziri mkuu, jiulize kwanini ikiwa alikuwa anawafurahisha kwa maneno yake hayo? Ukipata jibu fanya siri yako, badala ya kukurupuka kwa kiherehere chako.

Jana kuna habari huko Afrika Kusini, Waafrika wanaokwenda huko kujitafutia maisha wananyanyaswa na kufukuzwa na wanapigwa na wenyeji mpaka wanakimbilia kuishi polisi, jee na hao nao ni Waislam wanaowafanyia na kufanyiwa hivyo?

Chuki zenu kwa Uislam ni pale mnapoona, ndugu jamaa na marafiki zenu wakitoka kwenye ukafiri na kurudi kwenye njia iliyonyooka na kujisalimisha kwa Mungu wao, mmoja ambae hajazaa wala kuzaliwa. Hapo ndipo mnapopachukia.

Nakushauri usome Uislam utauelewa tu, hivi utamjua adui yako kama hujamsoma? lakini msome yeye kwa mafundisho yake si umsome kupitia kwa wasioujuwa Uislam kama wewe, utakuwa hujitendei haki. Ni ushauri wa bure.
What are you guys doing to the civilized nations? God back where people uses Donkeys and live in caves like Rats.
 
kajirita, umempata Ukht FaizaFoxy !? ...............nimekukazia wino ili yakuingia sawa sawa !
Kumbe Wakiristo ndo wamemnyima huyo Mama Uwaziri Mkuu ! :yo:
10922569_420306448137083_1451326140726434202_n.jpg
 
Back
Top Bottom